Ni kweli ukitaka kupata maendeleo ni lazima umwelimishe mtoto. "Kiakili, kimwili, kiroho, kimaandali na kijamii" Haya yakikosa unatengeneza jamii iliyokanganyikiwa. Je, nidhamu ya watoto wenu IKOJE??? FIKIRI KUHUSU HILI!!! SHUGHULIKENI ili taifa lipate watu wema wenye kumcha Mungu na walio na hofu ya mungu. | (Bila tafsiri) | Hariri |