Kuhusu
Peleleza
Tafuta
Jitolee
Mabadiliko
English
Kiswahili
Kinyarwanda
Fungua
/ChavitaWilayaDodomamjini/history
: Kiswahili
Asili
Kiswahili
Chama cha Viziwi Tanzania (CHAVITA) ni chama kilichoanzishwa na Viziwi wenyewe mwaka 1983 na kusajiliwa rasmi na Wizara ya Mambo ya Ndani tarehe 04/09/1984 na kupewa no so. 6466 na baaada ya kupitishwa kwa sheria ya Uanzishwaji wa vyama vya kiraia ya mwaka 2002, CHAVITA ilipata hati namba NGO 1878 tarehe 21/04/2006. – Kwa sasa CHAVITA ina Matawi 18 kwenye Mikoa 18 ya Tanzania bara ambayo ni Mwanza Shinyanga, Mara, Kagera, Dodoma, Tabora, Kigoma, Arusha, Tanga,...
(Bila tafsiri)
Hariri