Asili (Kiswahili) | Kiswahili |
---|---|
CDDF Tanzania (Cooperation,Development and Deliverance Foundation) ni shirika la USHIRIKIANO,UKOMBOZI NA MAENDELEO nchini Tanznia. COOPERATION:Tunashauri,tunahamasisha,tunaanzisha na kusimamia shughuri za pamoja za kijamii zenye kuleta mabadiliko na maendeleo kwa ujumla. DEVELOPMENT:Tunatoa elimu na kuanzisha miradi ya kupambana na umasikini. DELIVERANCE:Tunashirikiana na jamii katika kujikomboa kwenye majanga mbalimbali yanayomkumba mtanzania wa hali ya chini. |
(Bila tafsiri) |
Ili kuhariri tafsiri, lazima ufungue. Fungua · Jiandikishe