Fungua

/apapo/post/78902: Kiswahili

AsiliKiswahili
Mlikuwa mnatafuta waajiri au wafanyakazi kwani vp mtafuta kazi alipe pesa? huu ni mwanya wa kuibia watu pesa zao acheni wizi na tena mnaandika eti mmsitisha, kama ningekuwa mi nimetuma ningewapeleka police(Bila tafsiri)Hariri
Mkoani Kigoma maombi ya nafasi za kazi yamesitishwa mpaka hapo yatakapotangazwa tena iwapo italazimu.(Bila tafsiri)Hariri