Envaya

/gstf/news: Kinyarwanda: WIQFgu3DxHGDbSXtPwA9Oabc:content

Base (Icyongereza) Kinyarwanda

 

-      GSTF imetekeleza mradi wa Uimarishaji, Uwajibikaji na Uwazi kwenye usimamizi na utumiaji wa asilimali ardhi wilaya ya Kilosa, mradi uliofadhiriwa na Foundation for Civil Society Tshs.88,915,300/=

-      Mwaka 2011 GSTF ikifadhiriwa na Foundation for Civil Society Tshs.44,535,700/= ilitekeleza mradi wa Kuimarisha Ushirikishwaji, Uwajibikaji na Uwazi kwa jamii na viongozi wilaya ya Kilosa mkoa wa Morogoro.

-      Mwaka 2009/2010 GSTF chini ya ufadhiri wa the Foundation for Civil Society Tshs.34,948,700/= ilitekeleza mradi wa Ufuatiliaji wa Matumizi ya rasilimali za umma katika tarafa ya Mikumi wilaya ya Kilosa mkoa wa Morogoro.

(Not translated)

Kugirango ugire icyo uhindura kubyo wasemuye, ugomba kwinjira mu rubuga Injira · Iyandikishe