Kuhusu
Peleleza
Tafuta
Jitolee
Mabadiliko
English
Kiswahili
Kinyarwanda
Fungua
/amaniafl/topic/123371
: Kiswahili
Asili
Kiswahili
Katika chaguzi zilizomalizika hivi karibuni ndani ya chama cha mapinduzi zimegubikwa na tuhuma za wagombea kuhonga wapiga kura, je nini hatima ya wagombea masikini ni kweli wataweza kushika madaraka ya kichama au kiserikali endapo hali hii haitakemewa na viongozi wa juu?
(Bila tafsiri)
Hariri
uchaguzi bila rushwa inawezekana?
(Bila tafsiri)
Hariri