Base (Swahili) | English |
---|---|
Dhahabu Arts Group ni taasisi ya kijamii isiyolenga kupata faida binafsi yenye lengo la kuona siku moja jamii ya kitanzania inakuwa bora katika sekta za Afya, Elimu, Uchumi na Utamaduni. Ili kutimiza malengo haya, Dhahabu hufanya kazi na wabia mbalimbali wa ndani na nje ya nchi. Kwa sasa inafanya kazi zaidi na The Foundation for Civil Society. Mapema mwaka huu Dhahabu itakuwa inatekeleza Mradi wa mpango wa Kuwajengea uwezo Jamii na Wadau Sekta ya Elimu kuhusu Maboresho ya Sekta ya Elimu na wajibu wao katika usimamizi wa Rasilimali za Umma za Sekta ya elimu ngazi ya Kata kupitia mradi wa Social Accountability Monitoring (SAM) katika Kata zote 34 za Manispaa ya Kinondoni. Mradi huu ambao umefadhiliwa na Taasisi ya The Foundation for civili Society ni wa miaka mitatu na unaanza mwaka huu wa 2011 na utamalizika Septemba 2013.
Ni kwa muktadha huu, na kwa kuzingatia ukweli kwamba ni vigumu kufikia mafanikio ya mradi ambayo ni kuongeza Ufanisi katika Sekta ya Elimu pasipo ushirikiano toka kwako, kwa maana hii kama una kitu unaweza kuchangia katika kufanikisha mradi huu usisite kuwasiliana nasi.
Kwa kipindi cha January – Machi mwaka huu tutakuwa na mafunzo ya siku nne ya watu 162 kutoka katika kata zote Manispaa ya Kionondoni. Mafunzo yanatarajiwa kuanza tarehe 10/1/2011 katika ukumbi tutakaoutangaza baadae.
(Baadhi ya wasanii wa Dhahabu wakiiwezesha jamii kufanya ufuatiliaji wa Matumizi ya fedha za umma kwa kutumia Sanaa Shirikishi hadhira katika viwanja vya TGNP Mabibo Mei 2010
|
Gold Arts Group is a social institution isiyolenga private gain with the objective of seeing one day a Tanzanian community becomes better in the sectors of Health, Education, Economy and Culture. To accomplish these goals, Gold work with partners inside and outside the country. For now it makes more work and The Foundation for Civil Society. Earlier this year Gold will be implementing a project plan Empowering Communities and Stakeholders Education Sector Reform Sector Education and their role in the management of the Public Resources Sector of education level of the County through a project of Social accountability Monitoring (SAM) in All 34 wards of Kinondoni Municipality. This project which is funded by the Institute of The Foundation for civili Society is three years and is starting this year 2011 and will end in September 2013.
It is in this context, and considering the fact that it is difficult to achieve successful project which is to increase efficiency in the education sector without cooperation from you, in this sense if you have something you can contribute to the success of this project do not hesitate to contact us.
For the period January - March this year we will be training four days 162 people from all wards in the borough of Kionondoni. Training is expected to start on 01.10.2011 in hall tutakaoPodcasts. (Some of the artists of the gold they enable communities to make monitoring the use of public funds through the Participatory Arts audiences in stadiums TGNP Mabibo May 2010 |
Translation History
|