1. Kuwaendeleza washairi kiutunzi na maslahi ya kazi zao. – 2. Kukikuza, kuendeleza na kukitunza kiswahili ndani na nje ya Tanzania. – 3. Kulinda na kutunza utamaduni wa mswahili, aidha mila na silka zetu. – 4. Kuendesha na kuunga mkono kampeni zote za kitaifa na kimataifa. – 5. Kampeni maalum za kulinda maadili ya mswahili, wanawake, watoto, haki za kibinaadam, na unyanyasaji wowote wa kijinsia. | (Not translated) | Hindura |