1. Kuwaendeleza washairi kiutunzi na maslahi ya kazi zao. – 2. Kukikuza, kuendeleza na kukitunza kiswahili ndani na nje ya Tanzania. – 3. Kulinda na kutunza utamaduni wa mswahili, aidha mila na silka zetu. – 4. Kuendesha na kuunga mkono kampeni zote za kitaifa na kimataifa. – 5. Kampeni maalum za kulinda maadili ya mswahili, wanawake, watoto, haki za kibinaadam, na unyanyasaji wowote wa kijinsia. | 1. Upgrading kiutunzi poets and their work interests. – 2. Kukikuza, develop and kukitunza Swahili inside and outside of Tanzania. – 3. Protect and maintain the culture of the Swahili, and do not feature either our traditions. – 4. Driving and supporting all campaigns nationally and internationally. – 5. Special campaign to protect the values of the Swahili women, children, rights of kibinaadam, and... | Edit |