About
Explore
Search
Volunteer
Updates
English
Kiswahili
Kinyarwanda
Log in
/chawamu/post/21214
: English
Base
English
licha ya kuwezeshwa kiuchumi je mna miradi gani ambayo inawawezasha kiuchumi? Na mmeisaidia vipi jamii kupitia Asasi yenu?
despite the economic empowerment projects which have no economic inawawezasha? And how you helped the community through your organization?
Edit
Asasi yetu ni miongoni mwa Asasi ambayo inahitaji msaada wa kuwezeshwa kiuchumi.
Our organization is among the organizations that need the support of economic empowerment.
Edit
Swali zuri sana dada Martha...nadhani mkili jibu hili swali wafadhili na dunia nzima itaelewa hasa msaada huo wa kiuchumi mnaouomba mtapatiwa kwa njia gani, na mtautumiaje hasa.
Very good question ... I think sister Martha copy answer this question, donors and the whole world especially itaelewa economic assistance provided to you asked you how, with a particular utumiaje.
Edit
Chama cha Wastaafu na Wazee Mkoa wa Mtwara ni Asasi ambayo inashughulika katika Mkoa wa Mtwara ambayo imeazishwa mwaka 1987 na kuandikishwa mwezi Machi, 1998. Wanachama hukutana mara kwa mara kujadili maendeleo ya chama na hasa kuondokana na umaskini kwa wazee.Tatizo la chama kwa hivi sasa ni kupata njia ya kuongeza uchumi.
Association of retired and elderly Mtwara Region is the organization which deals in which imeazishwa Mtwara Region in 1987 and registered in March, 1998. Members meet regularly to discuss progress of society and especially to eliminate poverty wazee.Tatizo the party now is to find ways of increasing economic growth.
Edit