About
Explore
Search
Volunteer
Updates
English
Kiswahili
Kinyarwanda
Log in
/bakwatagr/post/10
: English
Base
English
Sheikh wa Wilaya Gairo akiwa na Mh Muft wa Tanzania alipo tembelea Wilayani Gairo nakuwaombea duwa wakazi wa Gairo Mh. Muft aliwaasa viongozi wa wilaya Gairo kuendana na kasi ya maendeleo iliyopo sasa na kuwaeleza kuwa wajitahidi kutafuta maeneo popote na kufanya uwekezaji hasa katika maeneo ya elimu na uchumi kwa ujimla wake
(Not translated)
Edit