Base (Swahili) |
English |
Kikundi kilianza mwaka 2004,kikiwa na wanachama kumi,kwa sasa idadi hiyo imeongezeka hadi kumi na tano.Kiundi kinafanya kazi katika kata kumi na moja zilizopo wilaya ya Ilemela, mkoa wa Mwanza.Makao makuu ya kikundi yapo kata ya Kitangiri, wilaya ya Ilemela.
|
The group started in 2004, with ten members, now that number has increased to ten and tano.Kiundi operates in eleven county district existing Ilemela, Mwanza.Makao region are the major group of Kitangiri county, district Ilemela.
|