Base (Swahili) | English |
---|---|
Afisa Mipango na Mratibu Miradi wa shirika la Tanzania Women Social Economic Development and Human Rights Organization Bwana William Daudi amesema kwamba, shirika lake kwa sasa linatarajia kuendesha mradi wa kuongeza nguvu katika utekelezaji wa Sera ya maendeleo ya wanawake na jinsia ya mwaka 2000. akizungumza katika kikao cha Kamati kuu Mapema wiki jana, alisema kwamba shirika lake litatekeleza mradi wenye thamani ya shilingi arobaini na nne milioni na laki nane na hamsini elfu ( 44,850,000) ambapo kata sita zilizoko katika Wilaya ya Kigoma na kasulu zitanufaika. Ruzuku hiyo inatolewa na shirika la Foundation for Civil Society.
Aidha baada ya Taarifa hiyo, mratibu huyo kwa sasa yuko Dar es Salaam kuhudhulia kikao cha HUMAN RIGHTS AND BUSINESS NETWORK ambacho kinafanyika katika Hotel ya Peackock Hotel mjini Dar es Salaam. Aidha alieleza kwamba kikao hicho kitashughulikia masula ya kutiwa sahihi kwa katiba ya mtandao huo. pili kupitia joint proposal na mpango mkakati. aidha washiriki pia watapata mafunzo juu ya mbinu za kufanya fundaraising. Kikao hicho kitahudhuliwa na mashirika kumi (10) wanaanzilishi, na wataalamu toka Ulaya na kutoka MDF-ESA toka Arusha. Kikao hicho kitafanyika kwa muda was siku nne (4) ambapo kitaanza tarehe 17 hadi 20 january 2011.
Imetolewa na idara ya habari na Mahusiano Kigoma Makao Makuu. |
Officer Programs and Projects Coordinator of the organization of Tanzania Women Social and Economic Development Human Rights Organization Lord William David has said that his organization is currently running a project to add linatarajia force in the implementation of development policies for women and gender in 2000. speaking at a session of the Central Committee early last week, said that his organization litatekeleza project worth forty shillings and four million and eight hundred thousand and fifty thousand (44,850,000) where the six-county district located in Kigoma and Kasulu benefit. Grants offered by the organization of the Foundation for Civil Society. Furthermore, after the statement, the coordinator is now Dar es Salaam session of Human Rights kuhudhulia AND NETWORK Business Hotel which is prevalent in the Peackock Hotel in Dar es Salaam. Furthermore he explained that the issues of the session kitashughulikia signed by the constitution of the network. second through a joint proposal and plan strategy. In addition participants will also receive training on methods of doing fundaraising. Kitahudhuliwa session with ten agencies (10) are the founder, and professionals from Europe and from the MDF-ESA from Arusha. Session was scheduled for a four day (4) which is expected to commence on 17 to 20 January 2011. Issued by Department of Information and Relations Kigoma Headquarters. |
Translation History
|