Fungua

/uwt: Kiswahili

AsiliKiswahili
Umoja wa Wazee na Maendeleo Tanzania ni asasi ya kiraia iliyosajiliwa na serikali ya Tanzania kwa usajili wa namba S.A.18539 kutoka wizara ya Mambo ya Ndani ya nchi tarehe 11/02/2013.Kufanya kazi ya kulinda,kuhifadhi na kutetea haki na maslahi ya wazee Tanzania kupitia kaulimbiu yetu ya :Dar-es-salaam tumeanza tuungeni mkono tusonge mbele kulinda na kutetea haki za wazee Tanzania. ...(Bila tafsiri)Hariri