UTANGULIZI – 001-Wazee kata ya ndugumbi wilaya ya kinondoni mkoa wa dar es salam,wameanzisha umoja wao tarehe 01/01/2012 ukiwa na wanachama 53 kwa jina la UMOJA WA WAZEE NA MAENDELEO TANZANIA. – 002-Umoja wa wazee na maendeleo umesajiliwa kisheria na msajili wa vyama tarehe 11/02/2013 namba ya usajili ni S.A.18539. – 003-Umoja huu pia umefungua benki akaunti katika benki ya wananchi dar es... | (Not translated) | Hindura |