Log in

/pofadeo/post/3337: English: WI000084FA4CB7B000003337:content

« Previous   ·   Next »
Base (Swahili) English

Mafanikio ya POFADEO

Jumuiya hii tangu ilipoanzishwa imefanya mambo mengi. Jumuiya imewahi kushiriki katika maonyesho mbali mbali yayoandaliwa na The Foundation For Civil Socity ikiwa ni pamoja na yale maonyesho  yanayofanyika katika ukumbi wa baraza la wawakilishi Zanzibar, viwanja vya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dodoma na viwanja vya Mnazi mmoja Dar es salaam.

Katika maonyesho hayo, POFADEO inapata fursa ya kujifuza mambo mbali mbali kutokana na kuangalia shughuli za jumuiya nyengine ambazo pengine zinakuwa na uzoefu zaidi kuliko POFADEO, na vile vile POFADEO inapata fursa ya kuonysha shughuli mbali mbali zinazofanywa na jumuiya hiyo.

Miongoni mwa ajenda ambayo POFADEO imewahi kuwasilsha katika maonyesho Bungeni na Baraza la Wawakilishi likaleta msisimko mkubwa kwa waheshimiwa wabunge na wajumbe wa Baraza la Wawakilishi ni utetezi wa haki za wanyama. Ajenda hii ilileta hoja kubwa kwa vile ilionekana ni ajenda ambayo ilihitaji kutiliwa maanani sana kutokana na umuhimu wa ajenda yenyewe hasa ukitilia maanani kuwa ukatili dhidi ya wanyama umepamba moto hususan katika kisiwa cha Zanzibar. Miongoni mwa vitendo vya kikatili ambavyo vinafanywa dhidi ya wanyama hapa Zanzibar ni pamoja na kubebeshwa mizigo mizito kinyume na uwezo wa wanyama hao, kupigwa viboko kiholela, na wakati mwengine kufanyishwa kazi wakiwa wanaumwa au wakiwana njaa.

Ajenda hii iliata hoja nyingi kutoka kwa wajumbe mbali mbali walioshiriki katika maonyesho hayo, lakini cha msingi kila mmoja alikubali kuwa wanyama wananyanyaswa na hivyo jamii inapaswa kuzingatia umuhimu wa kuchunga haki za wanyama kama viumbe wengine.

Serikali ya mapinduzi ya Zanzibar kwa kutambua umuhimu wa haki za wanyama, ilipitisha sheria ya wanyama ya mwaka 1999 inayojulikana kwa jina la "Animal Resources Management Act 1999".

Jambo la kusikitisha ni kwamba sheria hiyo imebaki tu katika vitabu lakini jamii ya wa Zanzibari wengi hawaijui. POFADEO kwa upande wake inajaribu kuielimisha sheria hiyo kwa jamii lakini inahitaji kupata msukumo wa ufadhili ili iweze kuwafikia wanajamii wengi zaidi.            

The success of POFADEO

This organization has done many things since ilipoanzishwa. Imewahi community participation in various exhibitions yayoandaliwa by The Foundation for Civil Socity including the exhibitions taking place in the hall of the House of Representatives in Zanzibar, plots of the Parliament of the United Republic of Tanzania, Dodoma and plots of Dar es Salaam Mnazi one.

In this exhibition, gets the opportunity kujifuza POFADEO things look different from other community activities that may become more than POFADEO experience, and also gets the opportunity kuonysha POFADEO various activities conducted by the community.

Among the agenda which shows POFADEO imewahi kuwasilsha in Parliament and the Council of Representatives likaleta great excitement for the chiefs and members of the House of Representatives members is advocacy of the rights of animals. This agenda led to great concern because it seemed kutiliwa agenda that needed much attention from the importance of the agenda itself on spending, especially if you were against animal cruelty has been especially hot cotton on the island of Zanzibar. Among the cruel acts against animals that vinafanywa in Zanzibar and were laden with heavy burdens against the ability of these animals, Arbitrary corporal stripes, and another when they are sick kufanyishwa work or they are hungry.

This Agenda iliata many arguments from various members who participated in this exhibition, but the primary one was accepted that animals are abused and that the community should consider the importance of safeguarding the rights of animals as other species.

The Revolutionary Government of Zanzibar to realize the importance of the rights of animals, animal law passed in 1999 known by the name of "Animal Resources Management Act 1999".

The sad thing is that this law remained only in books but many communities do not know Zanzibaris. POFADEO kuielimisha tries for his side with community law, but requires access to funding pressure can reach many more communities.


In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
September 8, 2010
The success of POFADEO – This organization has done many things since ilipoanzishwa. Imewahi community participation in various exhibitions yayoandaliwa by The Foundation for Civil Socity including the exhibitions taking place in the hall of the House of Representatives in Zanzibar, plots of the Parliament of the United Republic of Tanzania, Dodoma and plots of Dar es Salaam Mnazi one. – In this exhibition, gets the opportunity kujifuza POFADEO things look...