Fungua

/temoa/post/13: Kiswahili

AsiliKiswahili
Departments(Bila tafsiri)Hariri
TEMOA inawatakia waislam wote sikukuu njema ya eid na mwenyezi mungu awajaze rehema na upendo daima. Ujumbe: Mpatie mtoto elimu bora ili amjue mwenyezi mungu kwa haki na kweli. Elimu ni chanzo cha maarifa.(Bila tafsiri)Hariri