Base (Swahili) | English |
---|---|
Napenda kuchukua nafasi hii kukushukuru ndugu Mussa P.M Kamtade kwa maoni mazuri aliotujulisha kwenye Taasisi ya kupambana na UKIMWI Kitangari na tayari yameanza kufanyiwa kazi. Kwa mfano waviu waliopo kata ya Malatu wameanzisha kufuga mbuzi ili kupata nyama, na wale waviu ambao walikuwa wanaendekeza ngono isiyo salama wameanza kuacha tabia hiyo chafu. Jambo waliloomba waviu ni kwamba jamii iache kuwanyanyapaa ili kuwawezesha kujisikia vizuri na huru. |
Let me take this opportunity kukushukuru brother Mussa PM Kamtade for positive comments he otujulisha the AIDS Institute Kitangari already begun to be worked on. For example waviu present county of Malatu have started raising goats in order to get meat, and those who were waviu adapted unprotected sex have begun to drop the dirty habit. Thing they ask is that waviu kuwanyanyapaa leave the community to enable them to feel comfortable and free. |
Translation History
|