Base (Swahili) |
English |

Wakina Mama wajasiliamali katika Kata ya Mshangano Manispaa ya Songea wakiuza mazao ya mbogamboga chini katika Soko la Mshangano ambapo wamekuwa wakitozwa ushuru wa kati ya Shilingi 200 na 500 kwa siku kutokana na biashara hiyo,licha ya kuwa ni hatari kwa afya za watumiaji,imekuwa ikishangaza kuona Manispaa inachukua ushuru bila kujali kutengeneza miundombinu stahiki katika soko hilo jambo ambalo linatafsirika kama ni kuwadhulumu wakina mama hao miaka 50 ya uhuru.
|

Mothers Entrepreneurship County Mshangano Municipality of Sudbury who sold produce vegetables under Market Mshangano which have been levied tariffs of between Shs 200 and 500 per day for business, despite being a danger to the health of consumers, has been ikishangaza see Municipal taxation regardless it takes to make eligible facilities in the market which linatafsirika as they are wronged mothers 50 years of independence.
|