Kuhusu
Peleleza
Tafuta
Jitolee
Mabadiliko
English
Kiswahili
Kinyarwanda
Fungua
/washema/post/30
: Kiswahili
Asili
Kiswahili
Hamjambo! WAKIHABIMA ilipata mwaliko wa kuhudhuria kongamano la wasaidizi wa kisheria lilioandaliwa na shirika la Legal Services Foundation (LSF) huko Dodoma kuanzia tarehe 24- 25 Oktoba 2016. WAKIHABIMA kwenye kongamano hili ilipeleka wawakilishi 2; Mr Tanmoza Fungafunga- M/kiti na Bibi Mwanaafa Wadi Malenga- Mjumbe wa k/tendaji. Ni Matarajio ya kila mwana WAKIHABIMA kuwa sasa shirika letu litakuwa limefunguliwa milango zaidi ya mafanikio.
(Bila tafsiri)
Hariri