About
Explore
Search
Volunteer
Updates
English
Kiswahili
Kinyarwanda
Log in
/SHIMMAKUTA/post/62853
: English
Base
English
Katibu wa shirika la NEDA Bw. Abdalla Sabihi akisoma taarifa ya juma la elimu ya watu wazima katika kijiji cha Mkunya Newala na wao ndiyo walioandaa maadhimisho hayo
(Not translated)
Edit
Na Godwin Msalichuma, – Newala, Mtwara – Septemba 29, 2011 – JAMII katika Wilaya ya Newala wametakiwa kuanzisha madarasa ya elimu ya watu wazima ili kuondokana na tatizo la ujinga na umaskini uliokothiri haswa kipindi hiki Tanzania inavyoadhimisha miaka hamsini ya uhuru. – Hayo yalisemwa hivi karibuni na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya hiyo Bw. Chitwanga Ndembo katika maadhimisho ya juma la elimu ya watu wazima yaliyofanyika kiwilaya katika...
And Godwin Msalichuma, – Newala, Mtwara – Sept. 29, 2011 – COMMUNITY District in Newala have to start classes in adult education to alleviate the problem of illiteracy and poverty, especially this time okothiri Tanzania inavyoadhimisha fifty years of independence. – That was written recently by the Chairman of the District Council that Mr. Ndembo hit in the weekly celebration of adult education held in the village of Mkunya...
(This translation refers to an older version of the source text.)
Edit