Fungua

/TYD/topic/113637/add_message: Kiswahili

AsiliKiswahili
Maisha ni kila kitu kwa kila mtu aliyeumbwa na mwenyezi mungu,mabinti wadogo wamekuwa wakipata shida nyingi baada ya kupata ujauzito wasioutalajia , lakini sababu kubwa ni nini?ebu na tuangalie namna ya kuisaidia jamii ya Tanzania juu ya tatizo hili la mimba za utotoni: – wadau naomba maoni yaenu nini chanzo na nini kifanyike – asanteni sana(Bila tafsiri)Hariri
MIMBA ZA UTOTONI SABABU NNI?(Bila tafsiri)Hariri