About
Explore
Search
Volunteer
Updates
English
Kiswahili
Kinyarwanda
Log in
/TYD/topic/113637
: English
Base
English
Maisha ni kila kitu kwa kila mtu aliyeumbwa na mwenyezi mungu,mabinti wadogo wamekuwa wakipata shida nyingi baada ya kupata ujauzito wasioutalajia , lakini sababu kubwa ni nini?ebu na tuangalie namna ya kuisaidia jamii ya Tanzania juu ya tatizo hili la mimba za utotoni: – wadau naomba maoni yaenu nini chanzo na nini kifanyike – asanteni sana
Life is everything for everyone who was created by Almighty God, daughters scale have been found much difficulty after getting pregnant without utalajia, but the main reason why? Just to look at ways of helping the community of Tanzania on this problem of teenage pregnancy: – I view what yaenu stakeholders source and what can be done – thank you
Edit
MIMBA ZA UTOTONI SABABU NNI?
REASONS Unni teenage pregnancy?
Edit