About
Explore
Search
Volunteer
Updates
English
Kiswahili
Kinyarwanda
Log in
/TAHEA/topic/123673
: English
Base
English
Katika jamii nyingi suala hili limekua changamoto kubwa kwani watoto huachishwa kunyonya hata kabla ya kufikia umri huo. je mikakati ipi inaweza kusaidia kupunguza tatizo hili ili kuwa na watoto wenye afya kimwili na kiakili, pia kupunguza hali ya udumavu kwa watoto.
(Not translated)
Edit
KWA NINI INASHAURIWA KITAALAMU KUMNYONYESHA MTOTO MPAKA AFIKISHE WALAU UMRI WA MIAKA MIWILI??
(Not translated)
Edit