Log in

/TEYODEN/post/2917: English: WI000E22BAF4CE9000002917:content

« Previous   ·   Next »
Base (Swahili) English

TEYODEN washiriki katika siku ya vijana kimataifa Agosti 12

Katika kuendeleza sera yake ya ushirikiano na mashirika mengine ya vijana TEYODEN ilishiriki katika maadhimisho na shirika la vijana la Umoja wa Mataifa (YUNA) kaika kuadhimisha siku ya vijana kimataifa.Maadhimisho hayo yalifanyika katika ukumbi wa Apeadu  unaomilkiwa na Umoja wa Mataifa.

Siku hiyo ya vijana ilienda sanjatri na uzinduzi wa mwaka kijana uliozinduliwa na wazirti wa kazi,Ajira na maendeleo ya vijana,mheshimiwa Al-Haji Juma Athuman Kapuya,ambapo alibainisha changamoto zinazowakabili viaja katika ajira kuwa ni pamoja na kutokuwa waaminfu pale wanapopata ajira,kutofanya kazi kwa kujituma,uadilifu katika maeneo ya kazi na kukosa ujzi unaopelekea kutokujiamini wakati wanapokuwa kwenye usaili wakazi.

Kauli mbiu ya mwaka huu ilikuwa ni "mwaka wetu,Sauti yetu", iliyokuwa na kchwa cha habari,"Majdiliano na makubaliano ya pamoja".

 

 

 

 

 

TEYODEN participants in international youth day on August 12

In developing its policy of cooperation with other youth organizations TEYODEN participated in celebrations organized by the youth of the United Nations (Yuna) kaika kimataifa.Maadhimisho celebrating youth day it took place in the hall you omilkiwa Apeadu and the UN.

On that day the youth went sanjatri to launch last year launched the wazirti of work, employment and youth development, Mr. Al-Haji Juma Athuman Kapuya, where he noted the challenges facing Watch this space in jobs that included not being told minfu when they get jobs, not doing work with commitment, integrity in the workplace and lack ujzi is led kutokujiamini time when the interview residents.

This year's slogan was "our year, our Voice", which was to kchwa of information, "Majdiliano and collective agreements".


In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
October 6, 2010
TEYODEN participants in international youth day on August 12 – In developing its policy of cooperation with other youth organizations TEYODEN participated in celebrations organized by the youth of the United Nations (Yuna) kaika kimataifa.Maadhimisho celebrating youth day it took place in the hall you omilkiwa Apeadu and the UN. – On that day the youth went sanjatri to launch last year launched the wazirti of work, employment and youth development, Mr....