Envaya

/TEYODEN/post/2917: Kiswahili: WI000E22BAF4CE9000002917:content

Asili (Kiswahili) Kiswahili

TEYODEN washiriki katika siku ya vijana kimataifa Agosti 12

Katika kuendeleza sera yake ya ushirikiano na mashirika mengine ya vijana TEYODEN ilishiriki katika maadhimisho na shirika la vijana la Umoja wa Mataifa (YUNA) kaika kuadhimisha siku ya vijana kimataifa.Maadhimisho hayo yalifanyika katika ukumbi wa Apeadu  unaomilkiwa na Umoja wa Mataifa.

Siku hiyo ya vijana ilienda sanjatri na uzinduzi wa mwaka kijana uliozinduliwa na wazirti wa kazi,Ajira na maendeleo ya vijana,mheshimiwa Al-Haji Juma Athuman Kapuya,ambapo alibainisha changamoto zinazowakabili viaja katika ajira kuwa ni pamoja na kutokuwa waaminfu pale wanapopata ajira,kutofanya kazi kwa kujituma,uadilifu katika maeneo ya kazi na kukosa ujzi unaopelekea kutokujiamini wakati wanapokuwa kwenye usaili wakazi.

Kauli mbiu ya mwaka huu ilikuwa ni "mwaka wetu,Sauti yetu", iliyokuwa na kchwa cha habari,"Majdiliano na makubaliano ya pamoja".

 

 

 

 

 

TEYODEN washiriki katika siku ya vijana kimataifa Agosti 12

Katika kuendeleza sera yake ya ushirikiano Rangi mashirika mengine ya vijana TEYODEN ilishiriki katika maadhimisho ya Rangi shirika la vijana la Umoja Wa Mataifa (YUNA) kaika kuadhimisha siku ya vijana kimataifa.Maadhimisho hayo yalifanyika katika ukumbi Apeadu unaomilkiwa Wa Umoja Wa Mataifa ya Rangi.

Siku hiyo ya vijana ilienda sanjatri Rangi uzinduzi Wa Mwaka kijana uliozinduliwa Rangi wazirti Wa Kazi, Ajira Rangi maendeleo ya vijana, mheshimiwa Al-Haji Juma Athuman Kapuya, ambapo alibainisha Changamoto zinazowakabili viaja Ni katika ajira kuwa pamoja Rangi kutokuwa wanapopata ajira waaminfu rangi, kutofanya Kazi Kwa kujituma, uadilifu katika maeneo ya Kazi Rangi kukosa ujzi unaopelekea kutokujiamini wakati wanapokuwa kwenye usaili wakazi.

Kauli mbiu ya Mwaka Huu ilikuwa Ni "Mwaka wetu, Sauti Yetu", iliyokuwa Rangi kchwa cha Habari, "Majdiliano Rangi makubaliano ya pamoja."


Ili kuhariri tafsiri, lazima ufungue. Fungua · Jiandikishe

Historia ya tafsiri

Google Translate
14 Agosti, 2010
TEYODEN washiriki katika siku ya vijana kimataifa Agosti 12 – Katika kuendeleza sera yake ya ushirikiano Rangi mashirika mengine ya vijana TEYODEN ilishiriki katika maadhimisho ya Rangi shirika la vijana la Umoja Wa Mataifa (YUNA) kaika kuadhimisha siku ya vijana kimataifa.Maadhimisho hayo yalifanyika katika ukumbi Apeadu unaomilkiwa Wa Umoja Wa Mataifa ya Rangi. – Siku hiyo ya vijana ilienda sanjatri Rangi uzinduzi Wa Mwaka kijana uliozinduliwa Rangi wazirti...