Fungua

/Tawa/post/107745: Kiswahili: WI000A37BE6704F000107745:content

« Iliyotangulia   ·   Ifuatayo »
Asili (Kiswahili) Kiswahili

IDARA YA HALI YA HEWA YATAHADHALISHA WAKAZI WA MABONDENI

Wakati matatizo ya awali yaliyowapata wananchi waishio mabondeni kutokana na mafuriko hayajapatiwa ufumbuzi , hasa wakazi wa Keko mwanga  Magulumbasi A na B ,Mission kizinga msikitini ,Tabata Kisukuru na wengineo ,tahadhali imetoka katika idara ya hali ya hewa kwamba kutakuwepo na madhala makubwa kutokana na mvua za vuli zitakazonyesha kwa muda mfupi.Hii ni pamoja na kuwepo kwa  magonjwa ya mlipuko kama maralia, kipindupindu na magonwa mengineyo,hivyo tunaomba hatua za haraka zichukuliwe ili familia hizo ziweze kunusurika na janga lililoko mbele yetu.

(Bila tafsiri)

Ili kuhariri tafsiri, lazima ufungue. Fungua · Jiandikishe