Fungua

/MpalanoCDO/post/11: Kiswahili

AsiliKiswahili
(image) – AMANDONGOMILO: Matunda mwitu, katika wilaya za Kyela na Rungwe. Hayaliwi sana, lakini huaminika kuwa na madini ya chuma kwa kiwango kikubwa. Vijana hutumia matunda haya kutega ndege.(Bila tafsiri)Hariri