Asili (Kiswahili) | Kiswahili | |||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
1.0:Utangulizi Huu ni mpango mkakati wa shirika lisilo la kiserekali linalofanya shughuli zake kwa kufuata utaratibu wa kiutendaji.Shirika hili linajulikana kama MWANAMBOGO UNITED YOUTH DEVELOPMENT(MUYODE).MUYODE imeanza kutambulika na jamii kwa hasa kutokana na utendaji wa kazi mara tu yulivyopata usajiri.MUYODE inalengo la kuunga juhudi za serekali na za makundi mema yanayounga mkono juhudi za kupambana na matatizo yanayoikabili jamii na Taifa kwa ujumla.Katika kupambana na matatizo . MUYODE imeonelea kuanza kutafuta ufumbuzi ambao unaweza kutatua matatizo kwa kuanzia “DAWA ZA KULEVYA NA UKIMWI”Tunania ya kurudisha hisia na mtazamo wajamii na hata kuona mabaliko ambayo hayakuwepo kwa muda mrefu. MUYODE imeona umuhimu wa kujikiti katika kupambana na athari ya dawa za kulevya na UKIMWI.Katika kuendeleza juhudi hizi pia MUYODE imejiwekea mpango mkakati wa miaka mitatu.Katika kupambana na athari ya dawa za kulevya na UKIMWI.Hii ni kwa utekelezaji wa muda wa miaka mitatu .Mpango huu utasaidia shirika katika utekelezaji wa mkakati wake mwaka hadi mwaka kwa kuangalia vipaumbele mahitaji ya rasilimali na vyanzo vya fedha.Mpango huu wa MUYODE inaamini itasaidia na kusafisha na kuondoa ukungu uliotanda kwa jamii, Taifa kwa ujumla na baadaye kuonekana mafanikio ya mpango huu na shughuli zake.
Ili kuendana na kufikia lengo nyaraka za utendaji kazi wa mpango wa MUYODE. Watoa ushauri nasaha watawajibika kutoa maana halisi ,taarifa toka viongozi wa MUYODE na wadau wakuu na hata kufanya mjadala na upembuzi yakinifu kwa kufanywa ndani ya mihimili mitano:- I. Upembuzi wa mazingira ya MUYODE umekuwa unandeshwa,utamaduni,wadau,kujenga shirika na vyanzo na matarajio. II. Miundo na mifumo ya upembuzi wa uimara,udhaifu katika upunguzaji,fursa za kupata mabadiliko chanya na Vitisho (vikwazo ambavyo vitahitajika kuviepuka) III. Kutumia nyaraka muhimu za Taifa zinazoonyesha taarifa tathmini na hali halisi ya tatizo lengwa na kupunguza athari na matumizi ya dawa za kulevya na UKIMWI,sera zake na sera ya Taifa juu ya vijana. IV. Kuelezea na kuchambua hatua za kuendana na mpango,tathmini,matumizi na utendaji. V. Mipango na upatikanaji wa rasilimli kwa ajili ya mkakati huu na shughuli zake. Kutokana na chambuzi hali halisi ya mazingira mpango mkakati utaendana kulingana na utamaduni,mazingira,wadau na uwezo wa washirika.Ufuatao ni muundo au jedwali la (SWOT Analysis) ni pamoja na uimara na udhaifu ndani ya shirika ,fursa na vitisho vya nje ya shirika :-
2.1 JEDWALI LA 1: (SWOT Analysis)
3.0 UTAMBULISHO WA SHIRIKA:- 3.1 Taarifa za kina; Jina la shirika: MWANAMBOGO UNITED YOUTH DEVELOPMENT (MUYODE) Contact address: P.O.BOX 104623-TMK-DAR-ES-SALAAM.TANZANIA +255 787 620 437, +255 713 182 552 AINA YA SHIRIKA :- Ni shirika lisilo la kiserikali na linajulikana kama ilvyoanishwa hapo juu na limepata usajili wake January.02.2008 kwa sheria No.ACT No.24 of 2002 na usajili No. ooNGO/O337 DHAMIRA :-( MANDATE) kuwa ni matumaini wa jamii kuona imepata mkombozi zaidi kwa kuongeza juhudi za kiserikali HUDUMA YA KIPAUMBELE : kupambana na athari ya dawa za kulevya na ukimwi MAENEO YA KIJIOGRAFIA: Dar-es-salaam Temeke,Kata ya Mtoni Mtaa wa Mtoni. 3.2 Wasifu wa Shirika:- Shirika hili limekuwa likipambana na matatizo mbalimbali ya kijamii na ya maendeleo ya jami.i Hata hivyo inafanya kazi za kuitolea na imepata kujengewa uwezo na shirika la THE FOUNDATION FOR CIVIL SOCIETY(FCS).Na hatimaye kuwa na uelewa wa kuendesha shirika kwa ubunifu naumakini mkubwa katika utoaji huduma.Pia kuendesha shughuli zake kwa kufuata mikakati iliojiwekea tangu ipate usajiriwake 2008 hasa kwenye maeneo ya vijana na jamii kwa ujumla. 3.3 DIRA(VISION) Kuwa na jamii iliostawi na isiotumia dawa za kulevya. 3.4 Dhamira(mission statement) Kupunguza athari ya matumizi ya dawa za kulevya na UKIMWI. 3.5 Uzoefu wa MUYODE Tangu shirika lipate usajiri wake na kuwa kisheria limefanikiwa kupata fursa mbalimbali na kupata uzoefu wa uendeshaji wake.MUYODE inatoa huduma za kijamii kwa kufuata misingi ya kiuendeshaji wa shirika la kutoa huduma kwa umakini na kitaalam.Uzoefu umetokana na fursa kupata semina na kushirikiana na wataalamu kwa kuboresha huduma za kiutendaji. 3.6 Muundo wa Shirika
3.8 Kamati kuu Tendaji Hii ni mifumo/ufunguo wa utendaji kazi kutegemea maswala ya kisheria,sera mpango mkakati wa MUYODE n.k .Kwakuwa pia mshauri wa katibu/mtendaji mkuu na hata kuwa chombo ambacho kinatambua mgawanyo wa majukumu kwakufuata Program. v Katibu Mtendaji Ni mwakilishi na afisa mtendaji wa shirika.Majukumu na kuongeza utekelezaji wa Program ikiambatana na wasaidizi katika mambo ya ushauri,Afisa miradi,uharibu na watendaji wengine .Pia mtendaji huyu ni mtu wa kuwasiliana kati ya shirika na wadhamini/wafadhili na wadau wa maendeleo. v Timu ya utoaji huduma Hii ni timu ya wanachama .Mwenyekiti wake anakuwa katibu mtendaji.Katibu anaweza kuongoza,kufanya yanayowezekana katika mgawanyo wa shughuli za kila siku ili kuleta matokeo tarajiwa (mazuri) v Mshauri wa timu Kutoa ushauri katika utendaji na kuonaumuhimu wa kukutana na kutoa huduma kwa namna ya kuboresha huduma kwa kuwakilisha mkutano. v Afisa Miradi Kusimamia miradi kuwasilisha taarifa kwa katibu mtendaji na wengine.Kuongoza na kukagua utendaji mzuri wa miradi kwa muundo ulio na uhusiano,ufanisi na matokeo halisi. v Mwekahazina Kupanga,kusimamia na kuongoza maswala ya fedha ni jukumu lake kuandaa taarifa za fedha na kumshauri katibu mkuu kuhusu huduma ya fedha,sera na mikataba.Pia ni majukumu yake kutenda kazi kwa kutumia wanachama . 3.9 Mpango wa Vitendo
4.0 Mipango ya kutekeleza (Utangulizi) Mipango ni hatua/mfumo ambao huleta matokeo au zao la mpango kulingana na nyaraka.Ni zao la mgawanyo wa majukumu na utendaji ambao upatikanaji wa vipaumbele katika kipindi cha utoaji wa majambo na baadaye kupanga kulingana na mazingira.Mpango mkakati pia huangalia uwezo na uwepo wa washiriki wa vipi,lini,na wapi inataka kushindana,kupambana na nini na nani anataka kupanga naye na kwa sababu gani. Kwa maana nyingine ni mipango ya kusaidia jambo kulingana na hali inayofaa kupambana na mazingira.Inaonyesha faida baada ya mradi kupatikana nafasi/fursa na kukosekana mambo muhimu na kuhitajika kupatikana au kupungua kwa vigezo. Mpango mkakati wa MUYODE utahusisha namna gani ya kupunguza matumizi ya Dawa za kulevya,kuwepokwa mbinu mahususi kwa kuangalia utendaji na Uimara wa MUYODE pia udhaifu ndani,fursa na vitisho vya nje ya shirika.Mipango lazima ionyeshe matokeo,yatatokana kwa namna gani. Katika kuhakikisha mpango wa kupunguza matumizi ya ya dawa za kulevya .Uhusiano huu utaendana na washikadau,washiriki kupitia program na miradi inayotekelezeka. Hatua Sita za kutekelezaji njia hii ni :- v Kutoa/kupanga Vipaumbele(setting goals) v Kupanga matokeo tarajiwa (setting out puts) v Kupanga shughuli /kazi(setting activities) v Kupanga rasilimali (setting inputs) v Kupanga matokeo(verifiable indicators) v Kupanga namna ya upimaji (means of verification)
Vipaumbele vya mradi Vipaumbele vya mpango mkakati hu ni kurejea katika program na sababu za kuwepo kwa mradi.Hii inaambatana na shughuli na inasaidia na kutoa juhudi za kuelekea au kupunguza tatizo husika. Washikadau wote watakuwa tayari katika kuhakikisha mipango inaenda kwa namna ilivyopangwa Ifuatayo ni mipango iliowekewa vipaumbele vya kutatua tatizo la matumizi ya dawa za kulevya kwa miaka mitatu.
Kupangilia matokeo Matokeo yanatokana na baada ya shughuli za mipango kutokana na mpangilio wa vipaumbele.Matokeo yataonyesha utofauti kabla na baada ya hatua nzima kufanyika na vipaaumbele vinaweza kuwa na rasilimali tofauti. Kupangilia shughuli Matokeo ni kazi maalum ambayo inatendwa kwa kutoa zao la tokeo la mradi kupitia ufanisi wa kutumia rasilimali.Matokeo yatazungusha katika namna mbalimbali ya namba nyingi za shughuli katika hatua hii mpango utakuwa katika namna ya shughuli ambazo zitatendwa na kuleta matokeo tarajiwa. Upangiliaji wa rasilimali Shughuli inalenga kutoa zao la matokeo hitajiwa vyanzo vya rasilimali vipo katika watu,vifaa,muda,na fedha.Kwa maana hii uwingi wa mpango vyanzo vya rasilimali kuelezea msimamo wa mpango unaowekana shughuli zake kutekelezeka tu. Katika hili mpango wa MUYODE nguvu zake umetengeewa katika uamuzi, kuelekea kutumia vyanzo toka katika vyanzo tofauti kila shughuli.Hii inaonyesha vyanzo na kuorodhesha. Kupangilia Viashiria Vipimo Kwasababu hii ya ufuatiliaji na tathmini wa mpango mkakati na Vipimo vya viashiria ambavyo ni vipimo vya kufanikiwa mpango wa vipaumbele na matokeo utakuwa umewekwa.Pia ni wasifu upi utalenga na namna zipi na lini kwa maana nyingine Viashiria huonyesha kiwango/viwango na kuheshimu viwango vizuri kama muda utaonyesha matokeo mapya. Kupangilia namna ya kupima Baada ya kupitia vipimo vya viashiria vile ambavyo inahusisha ufuataliaji na tathmini utaamua kujua maana ya vipimo.Itarejea yale yanayowezekana na yaliyopo kwa kuonyesha taarifa ni namna gani viashiria vinaendana na vielelezo. Jedwali litaonyesha mchnganuo wa mpango wa utatuzi. 4.2 TATHMINI NA UFUATILIAJI WA MPANGO I:Mwanzo wa mradi wa makadirio:- Mahojiano/ukaguzi utafanyika kwanza kabla maamuzi ya mradi na kutoa tofauti kutoka program. II:Muda/kipindi cha makadirio:- Uwajibikaji wa ndani na ubora utaonekana kipindi cha mpango mkakati.Hili ni kadirio kuhakikisha kusonga ili kuboresha matokeo. Hii itakuwa inatafanyika kupitia ufuatiliaji huu:-
UKAGUZI WA KATI:- Hii itakuwa baada ya miezi 18 ya utekelezaji wa jambo kufanyika kwa marejeo ya hatua na na kufanya marekebisho kulingana na kuhitajika . UKAGUZI WA MWISHO:- Hii itakuwa ni ukaguzi na uwajibikaji .Dhumuni ni kuhoji /kukagua kwenda mbele kwenye mipango ya ilioleta matokeo na kupeleleza kuhusu masomo yaliyosomwa.
4.3 JEDWALI LA MPANGO MKAKATI JINA LA PROGRAM: DAWA ZA KULEVYA KIPAUMBELE:-KUPAMBANA NA ATHARI YA DAWA ZA KULEVYA & HIV/UKIMWI
4.5 UPATIKANAJI WA RASILIMALI
MWELA Crashes make a difference in civil society in 2013 MWELA THEATRE GROUP to recognize the contribution of civil society has decided to volunteer in capacity building organizations and community groups that are created due to the offended or hurt by concerns about themselves in their community. MWELA THEATRE GROUP decided to capacity building organizations and groups because of this group now has been spent by many organizations Caller support of a writing project and resolve disputes that experience for MWELA THEATRE GROUP has seen many conflicts due to such groups or organizations have been set up not realizing why. from a small study of MWELA THEATRE GROUP found that 1) the constitution many These organizations are narrated from the constitution of the organization other thus causing members perceive the implementation of the constitution these 2) The names of the white is a lot in organizations and social groups that have led to the members and beneficiaries failure to mention organizations 3) lack of leading the organization as well as the code of conduct and policies of the organization 4) lack of proper structures and systems of governance and lack of accountability that good leaders in organizations 5) limited ability of executives in organizations 6) no and plan a strategy that guides their activities. from these things and many others MWELA THEATRE GROUP decided to capacity-building for these organizations to make a real difference the group makes this project without any sponsor and now has begun to take the dimmer organization ten model having received a conversion desired, then we will continue with this program groups capacity per year this 2013 is MUYODE Dar es Salaam, group settings, group of widows MKURANGA Coast, group living with HIV Lushoto, farmers tea Lushoto, Branch of Elah Vuga Naukala Dima Dar es Salaam, a group of children desert, Grandparents T Dar es Salaam we offer an opportunity for donors and various specialists who assist sincerity in social groups, but they failed in one way or another we welcome even those who want to volunteer without cash payments are also welcomed. ELA theater personality believes is better than nothing if you help your brother then helped your family been building an effective group will have built a strong community We thank you FOUNDATION FOR CIVIL SOCIETY IN POWER SINCE 2003 built us thank Envaya ALSO WITH THE declaring declare civil society has also been assisting COST WITHOUT OPENING THE WEBSITE ORGANIZATIONS 20 NOW Conducted PROJECTS AND LINKING AND PARTNERS In 2003 MWELA THEATRE in conjunction with PFG cycled Drug Project a project funded by The foundion for civil society MWELA THEATRE GROUP 2004 in collaboration with the Temeke Municipal Office of the Chief Medical Officer of taking a project conducted infected of HIV from mother to child UNCEF project was funded and managed by the Ministry of Health. MWELA THEARE GROUP 2004 in conjunction with education WAMLU cycled carefully Project Citizen project funded by The Foundation for Civil Society MWELA THEATRE GROUP 2005 conducted a peer education project and life skills for youth groups project was funded by The Foundation for Civil Society In 2006-2007 MWELA THEATRE GROUP in collaboration with the Temeke Municipal cycled project ties tuberculosis infection Conducted in 2008-2009 MWELA THEA GROUP project governance household project funded by The Foundation for Civil Society In 2009 MWELA THEATRE GROUP in collaboration with the DEA were running project ties HIV and Poverty Project funded by The Foundation for Civil Society Conducted in 2010-2011 MWELA THEATRE GROUP project governance household project funded by the Foundation for Civil socity In 2012 MWELA THEATRE GROUP in collaboration with project YOFSAO we drive organizational capacity building project funded by The Foundation for Civil Society CHAMA CHA MAENDELEO YA KIUCHUMI NA KIJAMII VUGA OBJECTIVES 1.1.1 Support community during disasters and / or emergencies. 1.1.2 Support during the different social and cultural. 1.1.3 Develop a program of formal and informal employment in production and service. 1.1.4 Develop different strategies that can enhance the development of Education among people that come from Lushoto District. 1.1.5 Demonstrate in caring for people infected and affected and AIDS and disability. 1.1.6 To promote employment among youth and men through Agriculture, Husbandry and Trade. 1.1.7 Building relationships and institutions within and outside the country to bring relationships between the relevant parties and institutions. 1.1.8 Improving storage and display actions in regard to protection of Environment. 1.1.9 Participation in the design, planning and implementation of various programs National and International. 1.1.10 Encourage communities to join unions Loans Savings and Credit Cooperative ie Society (SACCOS). 01/01/11 Driving conferences, workshops, seminars, discussions and meetings relating to various aspects of Sport and Development. 1.1.12 To encourage the preservation of the sources of rivers, planting trees and Environmental preservation.
1.2 WORK 1.2.1 Encourage the provision of contributions that will enable construction of School: Video Initially, Primary, Secondary, Tertiary, health centers and dispensaries District Lushoto with different parts of the country. 1.2.2 Encourage establishment of daycare centers orphans, and living in high-risk environment and counseling centers
HIV infections.
1.2.3 Establishing the Social Fund for supporting Widows, Elderly, Youth and orphans. 1.2.4 Identify and facilitate the implementation of the Training Program Youth and Children develop in extending their special gifts sport. 1.2.5 Communicating with the condition inside and outside organizations in supporting The purpose and objectives of CHAMAKIVU. 1.2.6 Provide Entrepreneurship Education aimed at improving agriculture, farming, Business and provision of various services. 1.2.7 Conducting conferences, workshops, seminars, discussions and meetings Progress has different concerns. 1.2.8 Being a Trustee for both targeted members CHAMAKIVU in facilitation of Credit and / or the provision of credit based on ASSOCIATION procedures. |
(Bila tafsiri) |
Ili kuhariri tafsiri, lazima ufungue. Fungua · Jiandikishe