Base (Swahili) | English |
---|---|
Kupitia mradi wa Utetezi, jinsia na UKIMWI unaofadhiliwa na GIZ, MANGONET imeendesha mafunzo mbalimbali katika Wilaya ya Masasi. Tarehe 20/4/2012 MANGONET iliendesha mafunzo ya Afya ya uzazi, jinsia na UKIMWI katika ukumbi wa mikutano uliopo katika ofisi ya MANGONET, mafunzo hayo yalishirikisha washiriki mbalimbali kutoka kila Kata za Wilaya ya Masasi. Mwezeshaji wa mafunzo hayo alikuwa ni Bi. Tryphonia Malibiche mkunga wa Hospitali ya Wilaya Mkomaindo, idadi ya washiriki alikuwa 54 (KE 28 na ME |
Through Advocacy Project, gender and AIDS funded by GIZ, MANGONET imeendesha training in Masasi District. On 20/4/2012 MANGONET conducted training on reproductive health, gender and AIDS in the existing hall meetings in the office of MANGONET, training yalishirikisha various participants from each ward of the District of Thunder Bay. The facilitator of the training was the Bi. Tryphonia Malibiche midwife Mkomaindo District Hospital, the number of participants was 54 (BS 28 and ME |
Translation History
|