Log in

/LANGO/history: English: WI000742396A071000024539:content

« Previous   ·   Next »
Base (Swahili) English

Lindi Region Association of Non Governmental Organizations (LANGO) ni Mtandao wa Asasi za Kiraia Mkoa wa Lindi. Mtandao ulianzishwa rasmi tarehe 20 Juni,2007 na wanachama 5 waanzilishi ambao ni Mitandao ya Asasi Za Kiraia ya Kiwilaya za Mkoa wa Lindi ambayo ni pamoja na; LINGONET (Lindi), KINGONET (Kilwa), ULIDINGO (Liwale), NANGONET (Nachingwea) na RUANGONET (Ruangwa). LANGO imesajiliwa rasmi Septemba 2008 chini ya Sheria Na. 24 ya NGOs ya mwaka 2002 kupitia Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto (WMJJW) na kupatiwa cheti nambari 08NGO/00002518. Hadi sasa LANGO imeweza kupata mafanikio mengi yakiwamo haya yafuatayo:-

1. Kufahamika ndani na nje ya Mkoa wa Lindi.

2. Kushiriki katika matamasha na mikutano mbalimbali ya kitaifa.

3. Kuendesha midahalo ya Ulingo wa Maendeleo katika Mkoa wa Lindi.

4. Kushiriki katika Vikao vya Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Lindi (RCC).

5. Kushiriki kikamilifu katika michakato ya mapitio ya MKUKUTA I na ukusanyaji maoni ya wadau wa Mkoa wa Lindi kuhusu rasimu ya MKUKUTA II. 

6. Kuahirikiana na idara, taasisi na Serikali katika ngazi tofauti kwenye Mkoa wa Lindi.

7. Kukubalika na jamii na wadau mbalimbali wa maendeleo.

L Indi R egion A ssociation of N on G overnmental O rganizations (door) is a network of Civil Society in Lindi Region. The network was officially launched on June 20, 2007 by members five pioneers who are networks of civil society organizations to Kiwilaya of Lindi which include; LINGONET (Lindi), KINGONET (Kilwa), ULIDINGO (Liwale), NANGONET (Nachingwea) and RUANGONET (Ruangwa). DOOR officially registered in September 2008 under the Act. 24 NGOs in 2002 through the Ministry of Community Development, Gender and Children (WMJJW) and received certificate number 08NGO/00002518. Until now DOOR managed to get a lot of success including the following: -

1. Known inside and outside the Region of Lindi.

2. Participate in festivals and various national meetings.

3. Operating Platform Development debates in Lindi Region.

4. Participation in Sessions of the Advisory Committee of the Lindi Region (RCC).

5. Participate fully in the review processes of strategy I and the collection of views of the Lindi Region about the draft strategy II.

6. Kuahirikiana and departments, institutions and governments at different levels in Lindi Region.

7. Acceptance by the community and stakeholders of development.


In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
June 11, 2011
L Indi R egion A ssociation of N on G overnmental O rganizations (door) is a network of Civil Society in Lindi Region. The network was officially launched on June 20, 2007 by members five pioneers who are networks of civil society organizations to Kiwilaya of Lindi which include; LINGONET (Lindi), KINGONET (Kilwa), ULIDINGO...