Injira

/TACOMO/news: Kinyarwanda

BaseKinyarwanda
(image) – TUKOMESHE ajira kwa watoto. Hawa ni watoto wa kike wakazi wa eneo la Iziwa Jijini Mbeya wakiwa wamebeba kuni kwa ajili ya kuuza ili kujipatia kipato.(Not translated)Hindura
(image) – Mkurugenzi wa Shirika hilo Gordon Kalulunga akielezea jambo kwa waandishi wa habari hawapo pichani.(Not translated)Hindura
Mbeya Vijijini na Mbozi vinara ugonjwa wa Fistula. – Serikali itoe elimu na kuwatibu wagonjwa. Mwanamke mmoja ang’olewa kizazi. – ASASI isiyokuwa ya Kiserikali ya Tanzania Community Media Organization (TACOMO) yenye makao makuu mkoani Mbeya, imesema ugonjwa wa matundu sehemu za siri kwa wanawake (Fistula) umekuwa mkubwa mkoani humo...(Not translated)Hindura
(image) – Watoto kama hawa wanastahili kuendelezwa vipaji vyao kama wanavyoonekana, hawana viatu lakini duh! mambo safi(Not translated)Hindura
(image) – Kilimo kwanza Tanzania 2011(Not translated)Hindura
(image) – Wanafunzi wa shule ya Msingi Yala wilayani Mbarali mkoani Mbeya wanaosoma darasa la sita na la saba wapata0 93 wakiwa katika darasa moja!!!(Not translated)Hindura
(image) – Je ulevi ndiyo unasababisha haya au umasikini?(Not translated)Hindura
(image) – Wananchi wa kijiji cha Yala wilayani Mbarali mkoani Mbeya wanaosubiri kuhamishwa na Serikali kupisha hifadhi ya wanyama(Not translated)Hindura
(image) – Kushoto ni Mweyekiti wa TACOMO Angelica Sullusi akiwa anajadiliana jambo na Mkurugenzi mtendaji wa Shirika hilo Gordon Kalulunga.(Not translated)Hindura
(image) – Kihenge cha kuhifadhia nafaka ukiwemo Mpunga, Karanga n.(Not translated)Hindura