Ibitwerekeyeho
Ikarita
Shakisha
Korera ubushake
Inkuru
English
Kiswahili
Kinyarwanda
Injira
/LINGONET/topic/23166/add_message
: Kinyarwanda
Base
Kinyarwanda
asasi za kiraia ni tegemeo la jamii katika kuhamasisha na kusimamia miradi ya maendeleo katika kupeleka mbele ufanisi wa miradi kwenye maeneo yetu je tathmini na chukua hatua nini umefanya katika kipindi cha miezi sita mwaka huu kuelekea bajeti mpya ambayo inakuja katika halmashauri zetu?
(Not translated)
Hindura
posho,posho.posho ni alama kwamba sasa tuko katika karne ya posho na ukiigusa hiyo ujue utagombana na wengi.najua hata zito hana nia ya kuacha posho lakini nia yake kuonesha namna gani viongozi wetu roho zao zipo hapo ndio maana akaigusa na kweli amefanikiwa kwani mafisadi wote wameng"aka kwa kuogopa kupokonywa kula.posho kubwa kuliko kima cha chini cha mshahara ndio mbio zote za mwezi october mlikuwa mnakimbilia hapo!!!
(Not translated)
Hindura
kila kundi likidai uwakilishi patakua apatoshi lengo ni kuwepo na sheria za wazi zenye kutambulika na kama kiongozi akienda kinyme na sheria aweze kuadhibiwa kwa mfano kiongozi akiadi kuwa atajenga shule asame kwa mda gani na kwa bajeti hipi na kama akishidwa basi tumuadhibu kwa sheria hipi.kila siku tunalilia uwakilishi hao wanaotuakilisha wanatoka huku wananjaa wakila tu matulia bado tutakuwa atujapata ufumbuzi sheria hikiwa juu na uongozi na mavazi ya watu yakiwa...
(Not translated)
Hindura
Kwa kweli AZAKi zinahitaji kuwa na uwakilishi katika udiwani na ubunge.Hii itasaidia kusukuma mbele mjadala wa maendeleo na kushiriki katika maamuzi mbalimbali ya maendeleo
(Not translated)
Hindura
Pension jamii ni utaratibu endelevu wa kuwapatia wazee wote fedha tasilimu bila kuchangia,hii inaweza kufanyika kila baada ya muda uliokubaliwa,mfano kila mwezi au robo mwaka, mara nyingi fedha hizi hutolewa na serikali, kwa tafasili pana ni hatua au tendo la serikali au jamii kutoa usaidizi wa moja kwa moja kwa watu kuwawezesha kukabiliana na Majanga,hali ya kutojiweza na umasikini.HelpAge International ikishirikiana na NABROHO SOCIETY FOR THE AGED ya Mkoa wa Mwanza...
(Not translated)
Hindura
Nimeweza kutoa mapendekezo ya halimashauri kuwa na mifuko maalumu kwa watoto yatima,watoto waishio katika mazingira hatarishi na wajane ili ziweze kuwasaidia katika elimu afya na kuanzisha miradi endelevu
(Not translated)
Hindura
Wananchi tunasikia mjadala juu ya hoja ya kukatwa posho za vikao vya wabunge na pesa kuhamishiwa katika masuala mengine ya maendeleo. Kundi la watawala wanatetea posho hizi zisiguswe. Maudhui makubwa ni kwamba KUNDI LA WATU WACHACHE WENYE DHAMANA YA KUONGOZA wanafikiria zaidi namna ya kujinufaisha na kujilimbikizia mali huku wakiacha kundi kubwa wanaloliongoza likiendelea kuzama katika lindi la umaskini. Hawa ndio wabunge tulionao na Spika wetu. ...
(Not translated)
Hindura
NDUGU ZANGU WANAHARAKATI NAOMBA TUJADILI KWA PAMOJA UWEZEKANO WA KUINGIZA WAWAKILISHI WETU KATIKA MABARAZA YA MADIWANI NAMAANISHA KUWA NI VEMA NA NI HAKI YETU KUWA NA DIWANI KUTOKA KUNDI LA AZAKI KATIKA KILA HALMASHAULI,MBONA MBUNGE WA NGO YUPO INGAWA UWAKILISHI WAKE NI BANDIA NAYE TUANZE KUMJADILI MAPEMA,ILIFIKAPO UCHAGUZI UJAO TUSIWE WEKWEW TENA CHANGA LA MACHO NA ANNA ABDALAH ,NATUKIZUNGUMZA JUU YA BAJETI WAKATI HATUNA WAWAKILISHI KATIKA VIKAO VYA KUTOA MAAMUZI...
(Not translated)
Hindura
kuhamasisha jamii
(Not translated)
Hindura