Envaya
/chacode/news
: Kiswahili
Asili
Kiswahili
Mkurugenzi Mtendaji wa CHACODE Thadei Hafigwa akiwa studio ya RFA akielezea jambo kuhusiana na utendaji wa asasi yake
(Bila tafsiri)
Hariri
(image) (image) (image) (image) Hii ni hatua mbalimbali katika kufanya tafiti mbalimbali ikiwemo hali ya mazingira na uharibifu wa uoto wa asili. – Juhudi mbalimbali zinafanywa na serikali lakini kutokana na kuwepo kwa changamoto mbalimbali za maendeleo taarifa nyingi jamii hasa wa vijijini wanakosa kuzipata.Asasi ya CHACODE imedhamiria kuwa kiungo – madhubuti katika kuongea...
(Bila tafsiri)
Hariri
(image) – Mkurugenzi Mtendaji wa CHACODE,Thadei Hafigwa,Akimkabidhi Mjane wa Jamii ya Kimasai msaada wa fedha kwa ajili ya ada ya mtoto wake,aliyesimama katika ni Mtendaji wa Kijiji cha Kihangaiko Idd Simba
(Bila tafsiri)
Hariri
Maisha ya Kijiji,wakati mwingine kutokana na ukosefu wa vifaa mbalimbali vya kurahisisha shughuli zako za kila siku za kujiongezea kipato kama vile trekta,plau dhana inayotumika katika kilimo au jembe la kukotwa kwa Ng'ombe au wanyama pia hata hukosa mwevuli wa kujikinga na mvua pindi mvua inyeshapo,hutumia jani l (image) (image) (image) a Mgomba kujikinga na mvua,hapa Mkurugenzi Mtendaji wa CHACODE,Thadei Hafigwa ili kuendana na mazingira...
(Bila tafsiri)
Hariri
Viongozi wa serikali ni wadau wakubwa wa maendeleo na asasi zisizo za kiserikali kwa kuwa lengo ni moja kuhakikisha ya kuwa wananchi wanapata maendeleo katika maeneo yao na kuzikabili changamoto mbalimbali wanazokutana nazo wakati wa kutekeleza majukumu yao
(Bila tafsiri)
Hariri
(image)
(Bila tafsiri)
Hariri
Ni jambo linaleta faraja kubwa kwa kiongozi kwenye busara kuwa karibu na wananchi wake kujua changamoto zinazowakabiri,kuzungumza kulingana na mazingira wanayoishi,kwani zipo semi mbalimbali zinenazwo"kama hatutaweza kukaa karibu nao tukazungumza nayo,na wao kuwa karibuni nasi na kuzungumza nasi,hata nasi kamwe tuwezi tukazungumza tukaelewana. – Kiongozi wa kweli kuonyesha mfano,kwa kuzungumza na watu wake bila ya kujali dini,rangi au utaifa wake,hiyo ndio...
(Bila tafsiri)
Hariri
Viongozi wa serikali wanajukumu kubwa la kuwahamasisha wananchi kuchangia maendeleo yao,Miongoni mwa viongozi hao ni Mhe.Mbunge wa Bagamoyo Dk Shukuru Kawambwa ambaye ni Waziri wa Elimu na Mafunzo ya ufundi stadi amekuwa mstari wa mbele katika kukakikisha maendeleo yanapatikana katika jamii.
(Bila tafsiri)
Hariri
ASASI ya CHACODE iliweza kufanya utafiti katika masuala ya kuhifadhi mazingira na mambo ya kale.Jambo hili limetokana na tabia ya mapokeo waliokuwa wakiitumia wazee katika kuridhishana na kupeana taarifa na kumbukumbu mbalimbali za matukio ya kihistoria,mila na desturi utaratibu ambao kwa sasa umeanza kufutika kutokana na kukua kwa teknolojia ya mawasiliano na kumbukumbu. – Asasi imechukua jukumu la kufanya utafiti mdogo juu ya wazee wa kale walivyoweza kuwa na uwezo wa kufanya...
(Bila tafsiri)
Hariri
(image)
(Bila tafsiri)
Hariri