Envaya

/org/featured: Kiswahili

AsiliKiswahili
Nuru Halisi educates their community on various issues such as AIDS, drug abuse, and environmental protection. They also help to connect homeless people to their relatives and give them strategies to support themselves.Nuru Halisi inaelimisha jamii juu ya masuala mbalimbali yanayohusu UKIMWI, madawa ya kulevya, utunzaji wa mazingira, na elimu kwa vikundi vya vijana na kinamama, na inawatafuta msikwao na kuwakutanisha na ndugu zao na kuwapa mbinu za kujitegemea.Hariri
Based in Arusha, Tanzania, CWCD helps make sure that the basic rights of women and children are met. CWCD started the Albehije Frankosea pre & primary school to accomodate vulnerable children, which currently serves 109 orphans, disabled, and street children.Kutoka Arusha, Tanzania, CWCD inasaidia kuhakikisha kuwa wanawake na watoto wana haki zao za msingi. CWCD ilianzisha Albehije Frankosea shule ya msingi ili kusaidia watoto walio katika mazingira magumu, ambayo kwa sasa inasaidia watoto 109: mayatima, walemavu, na watoto wa mitaani.Hariri
CFP works to motivate society to protect the environment, and develops natural forests on the island of Pemba. Since 2006, it has helped 14 communities plant over 300,000 trees for fruit and timber, and many communities have seen the environmental benefits that tree planting has provided.Shirika la CFP linafanya kazi kuhamasisha jamii kutunza mazingira, na kundeleza misitu ya asili katika kisiwa cha Pemba. Tangu 2006, shirika hili limesaidia jumuiya 14 kupanda zaidi ya miti 300,000 kwa matunda na kuni, na jumuiya nyingi imeona faida za mazingira kutoka upandaji wa miti.Hariri
JEAN media connects CBOs and NGOs in order to bring about communication and change in communities on HIV/AIDS and Environmental issues.JEAN-media inaunganisha CBOs na NGOs ili kusababisha mawasiliano na mabadiliko katika jamii juu ya VVU/UKIMWI na masuala ya mazingira.Hariri
Fadeco Community Radio (100.8 FM) is a local radio station in Karagwe District, Kagera region. Fadeco works to stimulate rural development by improving access to information, learning resources, and communication technologies.Fadeco Community Radio (100.8 FM) ni kituo cha redio cha jumuiya katika wilaya ya Karagwe, mkoa wa Kagera. Fadeco inafanya kazi ya kuleta maendeleo ya vijijini kwa kuboresha upatikanaji wa habari na teknolojia ya mawasiliano.Hariri
ANPPCAN is a pan-African network that promotes child rights and child protection in Africa. Its Tanzania chapter was founded in 1990, and is currently involved into two main projects in Kisarawe and Mkuranga District in the Coastal regions.ANPPCAN ni mtandao wa Afrika ambayo umekuzania haki za watoto na ulinzi wa watoto. Sura yake ya Tanzania imeanzishwa mwaka wa 1990, na kwa sasa inafanya miradi mikuu miwili wilaya ya Kisarawe na Mkuranga katika mkoa wa Pwani.Hariri