Log in

/teyoden/news: English: WI0006F18180E9E000001402:content

« Previous   ·   Next »
Base (Swahili) English
2.0 SHUGHULI ZILIZOFANYIKA
• Katika miezi 3-(Julay -sept)ya utekelezaji, shughuli zifuatazo zilitekelezwa:

2.1 Utafiti kwa vijana juu ya uwajibikaji na ushiriki wa vijana katika shughuli za jamii na maendeleo.
TEYODEN imefanya utafiti shirikishi kuhusu uwajibikaji na ushiriki wa vijana katika vikao vya maendeleo na shughuli za kijamii na maendeleo.Utafiti huu umetokana maoni ya The Foundation For Civil kuwa ni vyema kufanya tafiti ili kujua hali ya uwajibikaji na ushiriki wa vijana kabla ya kuwasilisha tena mradi.Matokeo ya utafiti uliofanywa kwa Mukhtasari ni kama ifuatavyo:-
• 61.7% ya walengwa wa utafiti walionyesha uelewa kuhusu maana ya uwajibikaji na 38.3 % walionyesha kutoelewa maana ya uwajibikaji na dhana nzima ya uwajibikaji kwa vijana.
• 50% ya walengwa walionyesha kuwa kuna uwajibikaji hafifu kwa vijana katika mitaa na kata wanakoishi na 47% ya vijana wahojiwa walisema kuwa kuna uwajibikaji wa wastani miongoni mwa vijana katika mitaa wanayoishi.
• 85.3% ya vijana walisema hawashiriki katika vikao na shughuli za maendeleo ngazi ya kata na 14.7% tu ya vijana wanashiriki katika vikao na shughuli za kijamii na kimaendeleo ngazi ya kata.
• 73.5% vijana waliohojiwa walisema hawashiriki vikao na shughuli za kimaendeleo ngazi ya mtaa na 26.5% walisema wanashiriki katika vikao na shughuli za kimaendeleo na jamii ngazi ya mitaa.
• 67.6% ya vijana walisema hawashiriki katika shughuli za kujitolea na 32.4% za vijana walisema wanashiriki katika shughuli za kujitolea ngazi ya manispaa na kata.
• 76.5% ya vijana walisema wanashiriki katika vikao vya vijana katika vituo vya kata na 23.5% wanashiriki ipasavyo katika vikao vya vituo vya vijana vya kata.
• 76.5% ya vijana walihojiwa walisema vijana wanapaswa na ni muhimu sana kushiriki na kushirikishwa katika kufanya maamuzi ya kujamii na kimaendeleo,20.6% ni muhimu na 2.9% si muhimu sana kwa kuwa haina matokeo yoyote.
Maazimio ya vijana kutokana na utafiti huu ni kuanzisha kwa mradi au mpango maalum utakaowezesha vijana kujua umuhimu wa uwajibikaji na ushiriki wao katika shughuli za kijamii na maendeleo.Andiko la mradi limeandikwa upya na kuwasilishwa katika ofisi za Foundation.

2.2 Mradi wa uenezaji wa sera ya vijana wa Kituo cha vijana cha makangarawe.
Kituo cha vijana cha kata ya makangarawe kimeibua mradi wa kueneza sera ya vijana kwa vijana katika kata hiyo.Mradi huu umepata bahati ya kufadhiliwa na taasisi ya The Foundation For Civil Society.Mradi huu unategemewa kutekelezwa katika kipindi cha miezi 3 kuanzia mwishoni mwa Oktoba na kumalizika mwishoni mwa Disemba.

2.3 Mjadala wa vijana centre 1.
Kama ilivyo kawaida kwa vijana wa TEYODEN kufanya midahalo kila jumamosi mbili katika mwezi.katika kipindi cha taarifa vijana walifanya midahalo 6 na wastani wa vijana 107 walishiriki katika midahalo hiyo.
2.0 ACTIVITIES held,: • At 3 months - (Julay-Sept) of implementation, the following activities zilitekelezwa :

2.1 Research on youth accountability and youth participation in community activities and development.
TEYODEN participatory research has about accountability and participation of youth in development sessions and social activities and this has been attributed maendeleo.Utafiti views of The Foundation for Civil well be doing surveys to find out the state of accountability and participation of young people before presenting again mradi.Matokeo research conducted the Summary is as follows: -,: • 61.7% of the beneficiaries of the research expressed understanding about the meaning of accountability and 38.3% expressed kutoelewa meaning of accountability and the concept all responsibility for young people.,, • 50% of beneficiaries showed that there is accountability weak youth in the streets and wards are where the 47% of young respondents said that there is accountability of the average among the youth in the streets they live.,, • 85.3% of youths said they did not participate in meetings and activities of the development level of the ward and 14.7% only of youth participate in meetings and activities of social and developmental level of the ward.,: • 73.5% children who were interviewed said they were involved meetings and activities of developing local level and 26.5% said they participated in meetings and activities of development and community level councils.,, • 67.6% of youths said they did not participate in the activities of volunteers and 32.4% of youth said they participate in the activities of volunteers at the municipality and ward.,: • 76.5% of youth said they participate in meetings of youth centers ward and 23.5% participate effectively in sessions centers, youth of the ward.,: • 76.5% of young men interviewed said young people should and is very important participation and involvement in decision making and social development, 20.6% is important and 2.9% not very important because it contains the results of any. ,: Resolutions of youth from this study is to establish a specific project or program will kaowezesha youth know the importance of accountability and participation in social activities and maendeleo.Andiko the project re-written and presented at the Foundation offices .

2.2 Project The deployment of the youth policy of the Centre's youth Makangarawe.,: Centre for young ward of the project spread Makangarawe kimeibua youth policy for young people in this ward hiyo.Mradi you get lucky the institute sponsored by The Foundation for Civil Society. This project is expected to be implemented within three months from the end of October and ends in late December .

2.3 Discussion of Youth Centre 1.,: As usual with young people every Saturday TEYODEN do two debates in the past mwezi.katika information the youth had done six debates and average 107 young people participated in the debates.

In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
July 13, 2010
2.0 ACTIVITIES held,: • At 3 months - (Julay-Sept) of implementation, the following activities zilitekelezwa : – 2.1 Research on youth accountability and youth participation in community activities and development. – TEYODEN participatory research has about accountability and participation of youth in development sessions and social activities and this has been attributed maendeleo.Utafiti views of The Foundation for Civil well be doing surveys to find out the state of...