Kama mapambano ya rushwa, ufisadi na Ukimwi yangepewa kipaumbele kama vile taifa lilivyopambana na ujinga(miaka ya 60), vita vya kagera (mwishoni mwa miaka ya 70),ulanguzi na uhujumu uchumi(miaka ya 80) naamini kuwa taifa letu lingekuwa mbali sana hivi sasa. | If fighting corruption, graft and AIDS as well as national priority yangepewa lilivyopambana illiteracy (60 years), Kagera War (late 70), smuggling and economic sabotage (80 years) I believe that our nation would be far these now. | Edit |