Ibitwerekeyeho
Ikarita
Shakisha
Korera ubushake
Inkuru
English
Kiswahili
Kinyarwanda
Injira
/jeanmedia/topic/22986
: Kinyarwanda
Base
Kinyarwanda
Kama mapambano ya rushwa, ufisadi na Ukimwi yangepewa kipaumbele kama vile taifa lilivyopambana na ujinga(miaka ya 60), vita vya kagera (mwishoni mwa miaka ya 70),ulanguzi na uhujumu uchumi(miaka ya 80) naamini kuwa taifa letu lingekuwa mbali sana hivi sasa.
(Not translated)
Hindura
@BY SIMION SIMBUJILE (MTWARA KUTOKA SHIRIKA COMMUNITY BASIC EDUCATION FOR DEVELOPMENT (COBED)): Nakubaliana kabisa na wewe ndugu yangu. Maana mpaka sasa suala la ufisadi limekuwa ni kama hekeya na simulizi, kwa ajili ya kuburudisha uma. Halijachukuliwa kama tatizo linalohitaji kushughulikiwa. Lazima utafutwe ufumbuzi ili kurejesha imani ya raia ambayo kwa sasa imeathirika.
(Not translated)
Hindura
Ni kweli kwa sababu mgojwa hawezi kumtibu mgonjwa mwenzake.
(Not translated)
Hindura
kwa sababu wanaopaswa kuwawajibisha ni mafisadi wenzao.
(Not translated)
Hindura
Kwa nini Mafisadi hawachukuliwi hatua za haraka ili watanzania wawe na imani na serikali yao sio kama sasa inavyoonekana kama wanafugwa wakati wameihujumu nchi?
(Not translated)
Hindura
@BY SIMION SIMBUJILE (MTWARA KUTOKA SHIRIKA COMMUNITY BASIC EDUCATION FOR DEVELOPMENT (COBED)):
(Not translated)
Hindura
UFISADI TANZANIA
(Not translated)
Hindura