Envaya

/mope/post/93349: Kinyarwanda

BaseKinyarwanda
hongera sana MOPE nnatisha mna website – hapa ndo ntachapa kazi mpaka basi, ongezeni bidii tunaona riport zenu the foundation zinatuvutia wote zinazohusu PETS(Not translated)Hindura
MBONA HAMJAENDA MABWEPANDE NDO KUNA KAZI ACHA KUZURULA MJINI – MOPE TUNAWAAMINIA NENDENI PENYE TATIZO(Not translated)Hindura
kawaida ya NGO nyingi wanapita wanachukua maoni ya watu alafu wanakula pesa basi. – MOPE tunawaamini msije mkatuangusha, nasikia mmepita jangwani, kigogo na pengine msisahau kurudi(Not translated)Hindura
Mafurilko yanaambatana na mambo mengi magumu hasa kupngezeka kwa umasikini – kama ketu huku tandale wadada wanajiuza tu ili wapate pesa ya kula – tusaidieni jamani MOPE(Not translated)Hindura
MNATAKA UFADHILI WA MAAFA – ANDIKENI PROPOSAL MPELEKE envaya wanatoa ruzuku – kazi zenu tunaziheshimu sana – hongera Peter na Dr joel mnatumpa changamoto ya kazi(Not translated)Hindura
Inaonekana serikari na mashirika mengine ya yasiyo ya kiserikari yanapambana sana kuakikisha watu hawa wanapata makazi. kama MOPE wanavyosema changamoto kubwa ni kwenye vyoo na mahali pa taka, mahema ni mazuri sana, maji yanachimbwa na mambo mengi yanaendelea pale. sisi wengine ni wajibu wetu kuhakikisha tunajenga hali nzuri ya watu kuishi na sio kukimbia mafuriko na watu wakafa kwa magonjwa ya mripuko. – solid waste disposal and clean water supply are the basic issue that must be...(Not translated)Hindura
MOPE, pole mmechanganya kidogo, watu hawa wanapelekwa eneo linaloitwa mabwepande na sio madale. – sisi wote tunawaunga mkono mope kwa kazi zenu za kila siku, nasikia mnafanya PETS kinondoni, bagamoyo na kibaha. – na sisi tunafanya mambo ya SAM tunaona changamoto nyingi sana kutoka kwenye community tunazo huf=dumia – good work MOPE(Not translated)Hindura
Flood in Dar es Salaam with many deaths and homeless – It was a three days heavy rain that led to over accumulation of water over and above usual ground level during rain for many years for those who can remember. This overflow from rivers and trenches along water course flooded the ground and houses mostly in Jangwani, Kigogo, Msasani, Tabata and other many areas of the city. Unfortunately it destroyed many...(Not translated)Hindura