Envaya

/meeco/news: English

BaseEnglish
(image) – Baadhi ya vitendea kazi katika usafi wa mazira alivyovitoa MH.HAROUN ALI SULEIMAN moja ya ahadi alizoahidi katika uzinduzi huo(image) – Some tools in the purity of hate have presented MH.HAROUN Ali Suleiman was one of the promises made at the initiative zoahidiEdit
(image) – MH.HAROUN ALI SULEIMAN Waziri wa kazi na Uwezeshaji Wanaachi Kiuchumi na Ushirika akilopokuwa akifunguwa jumuiya ya MEECO(image) – MH.HAROUN Minister Ali Suleiman's work and Wanaachi Economic Empowerment and Participation lopokuwa she give birth in a community of MEECOEdit
(image) – Vijana hatarishi katika masuala ya uharibifu wa mazingira kwa kuchimba mchanga walio jaa katika Mji wa Mwanakwerekwe, vijana hawa vilevile hutumia bangi na madawa ya kulevya ili kujipatia vipato vyao na huwa hatari sana kwa wapenda maendeleo kwani huwa wanachukuwa silaha mbalimbali katika harakati zao za haramu(image) – Youth at risk in terms of environmental damage by digging the soil are filled in the City of Mwanakwerekwe, young people also use cannabis and addiction to earn their livelihoods and are very dangerous for love development since they are often taken different weapons in their pursuit of illegalEdit
Kwa upande wa Asasi yetu ya MEECO nasisi tunatoa salamu za rambirambi kwa familia za ndugu zetu waliopoteza maisha yao katika mafuriko yaliyotokea. Tunapenda kuungana nao kwa hali na mali kwa upande wa shirika letu la envaya tunashukuru sana kwa kuwa karibu na jamii kila linapotokea janga.In terms of our organization, we salute MEECO petition of condolence to the families of our brothers who lost their lives in floods. We want to connect them to the state and properties of our organization we envaya very grateful to be close to the community every disaster occurs.Edit
(image) – Viongozi na wanachama wa jumuiya ya MEECO wakiwa katika ziara yao ya kuhamasisha jamii kuhusu utunzaji na uhifadhi wa mazingira ya mikoko katika kijiji cha Unguja Ukuu Mkoa wa Kusini Unguja. Kuanzia kulia ni Abdallah Saleh Fatawi (Naibu Katibu)Hija Ramadhan Choko ( Mkuu wa Kamati ya Mapambo)(image) – Leaders and members of the community of MEECO in their tour to sensitize communities on environmental preservation and conservation of mangroves in the village of Unguja South Region Unguja greatness. Starting right Fatawi Abdallah Saleh (Deputy Secretary) Ramadhan Hajj oven (General Committee of Decorative)Edit
(image) – Viongozi na wanachama wa jumuiya ya MEECO wakiwa katika ziara yao ya kuhamasisha jamii kuhusu utunzaji na uhifadhi wa mazingira ya mikoko katika kijiji cha Unguja Ukuu Mkoa wa Kusini Unguja(image) – Leaders and members of the community of MEECO in their tour to sensitize communities on environmental preservation and conservation of mangroves in the village of Unguja South Region Unguja GreatnessEdit
(image) – Katibu wa MEECO (shati la machungwa) akiwa mgeni rasmi katika Mkutano mkuu wa Jumuiya Rafiki ya UWEMAJO ya Jozani Mkoa wa Kusini Unguja. Suala la utunzaji wa mazingira kuhusu kuepuka ukataji ovyo wa miti ndio mada kubwa aliyoizungumzia.Kushotoni kwake ni Katibu Mtendaji wa jumuiya ya UWEMAJO Bw. Hassan Khatibu akifuatiwa na Msaidizi Katibu wa jumuiya hiyo Bw. Rajab Mchumi ( Mzee Liliondo)(image) – Secretary of MEECO (orange shirt) as a special guest at the Annual General Meeting of the Community Friend of the Jozani UWEMAJO Unguja South Region. The issue of preservation of the environment on disposal to avoid cutting of trees is the big topic was yoizungumzia.Kushotoni its Executive Secretary Mr. UWEMAJO community. Hassan Khatib, followed by Assistant Secretary of the community that Mr. Rajab Economist (Elder Liliondo)Edit
Katibu wa Jumuiya ya MEECO ndugu Suleiman Jeni Pandu akimkabidhi Taarifa ya Mafanikio na Changamoto za wanajamii wa wilaya ya Kusini, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mh. Ali Mohammed Shein katika kijiji cha jozani alipokuwa katika ziara yake ya kutembelea Mikoa yote ya Zanzibar kuangalia Miradi mbalimbali ya Meendeleo Mikoani humo. (image)(Not translated)Edit
Katibu wa MEECO Ndugu Suleiman Jeni Pandu akimkabidhi andiko la Mradi "Uwezeshwaji kwa maendeleo" Mh. Haroun Ali Suleiman, waziri wa kazi Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi na Ushirika kwa ajili ya kuchukuliwa hatua andiko hilo. Makabidhiano hayo yalifanyika ofisini kwake Mwanakwerekwe (image)(Not translated)Edit
Wanachama na viongozi wa MEECO walioshiriki katika mafunzo ya utawala bora ndani ya Asasi. Mafunzo hayo yalidhaminiwa na shirika la the foundation for Civil Society la Dar-es-Salaam. Kuanzia upande wa kulia walioinama ni katibu wa Asasi ambae pia ni Mratibu wa Mradi huo Ndugu Suleiman Jeni Pandu, akifatiwa na Mwenyekiti wa Asasi Ndugu Abdallah Ali Hassan (image)(Not translated)Edit