Base (Swahili) | English |
---|---|
HAKI ZA WAZEE KWA MATAMKO YA SERA YA TAIFA YA WAZEE, MATAMKO YA KIMATAIFA NA CHANGAMOTO ZINAZOWAKABILI WAZEE
Haki ni stahili anayopaswa kupata mtu, kisheria ama kwa kuzaliwa, haki hiii humpa mtu uhuru wa kutenda au kumiliki (Chanzo:kanuni ya Oxford). Azimio la umoja wa mataifa namba 46 la mwaka 1991 limeweka bayana kuwa wazee wana haki zifuatazo:(i) kuwa huru (ii) kushiriki na kushirikishwa (iii) kutunzwa (iv) kujiendeleza/kukukza utu wake (v) kuheshimiwa [Chanzo: sera ya Taifa ya wazee 2003).
Kwa mujibu wa sera ya Taifa ya wazee, wazee wanakabiliwa na changamoto nyingi, kama umasikini, magonjwa, kutowekwa katika mipango ya maendeleo, n.k. Umasikini: Hii ni tatizo kubwa sana hasa kwa wazee wengi ambao walikuwa katika ajira zisizo katika mfumo rasmi kama wavuvi, wafugaji, wakulima wa mazao. Kwa sababu kundi hili halimo katika mfumo wowote rasmi wa hifadhi ya jamii. Pia wazee wastaafu walio katika mpango wa hifadhi ya jamii wanakumbwa na matatizo yanayotokana na urasimu wa kupata huduma (Chanzo: sera ya Taifa ya wazee, 2003). Mikakati iliyopo sasa haihusishi wazee katika kuondoa umasikini, hii ni kutokana kwa sababu hakuna sheria yeyote inayosimamia utekelezaji wa sera hii. Magonjwa:
Mipango ya maendeleo:
Kutokuwepo kwa mfuko wa wazee:
Kutokuwemo katika hifadhi ya jamii kwa wazee waliostaafu katika ajira zisizo rasmi:
MAPENDEKEZO: (i) Kutungwa kwa sheria: Kutokana na kutokuwepo kwa sheria yeyote inayosimamia utekelezwaji wa sera ya wazee, sera hii ya mwaka 2003 imebakia kuwa katika maandishi bila ,kuwepo katika vitendo. Hivyo basi kuwepo kwa sheria kutasaidia utekelezwaji wa sera. (ii) Halmashauri za wilaya zitenge fedha kupitia mfuko maalumu wa wilaya ili kuwawezesha wazee kupata huduma na pia kuendesha shughuli mbalimbali kupitia katika vikundi. (iii) Halmashauri kupitia idara ya maendeleo ya jamii na mipango iandae daftari la takwimu kubaini idadi ya wazee. (iv) Wazee kupata uwakilishi katika vyombo vya maamuzi katika ngazi zote za kata, Halmashauri na Bunge, hii itasaidia kuhakikisha kuwa hawasauliki kuwekwa katika mipango ya maendeleo, aidha kuhakikisha Bajeti inaweka fungu la kuwahudumia wazee. (v) Halmashauri kutengeneza mbinu/mfumo utakao wawezesha wazee kupata vyote Tiba na Dawa. (vi) Mgawanyo wa majukumu wa kuwasaidia wazee katika kutekeleza sera ya wazee uzingatiwe na kuwekwa katika vitendo kuanzia serikali kuu hadi ngazi ya familia. (vi) Baraza ya wazee yatimize wajibu wao wa kuhakikisha kwamba wanasimamia malengo ya uanzishwaji wa Mabaraza hayo ya kudai haki bora ya maisha ya wazee kwa ujumla.Hii ni katika ngazi zote kwa Mabaraza yaliyoundwa tayari, kwani ndiyo sehemu ya kupazi sauti za wazee. |
RIGHTS OF ELDERS TO STATEMENTS OF POLICIES FOR ELDERS NATIONAL, INTERNATIONAL AND STATEMENTS OF ELDERS challenges
Truth is worthy he should find someone, legally or by birth, right hiii it gives a person the freedom to act or ownership (Source: the principle of Oxford). UN Resolution No. 46 of 1991 has kept it clear that parents have the following rights: (i) be free (ii) participation and involvement, (iii) be maintained, (iv) develop / kukukza his personality (v) honored [Source: policy State of the elderly in 2003).
According to the National Policy elderly, the elderly are faced with many challenges, like poverty, disease, kutowekwa in development plans, etc. Poverty: This is a very serious problem, especially for many elderly people who were in non-formal employment as fishermen, farmers, crop farmers. Because this group is not in any formal system of social protection. Also pensioners who are in the social security program are experienced complications and bureaucracy of accessing services (Source: National policy of the elderly, 2003). The current strategy excludes the elderly in poverty, this is due because there is no any law governing the implementation of this policy. Diseases:
Development plans:
Absence of a bag of old:
Kutokuwemo in social protection for older people who retired in informal employment:
RECOMMENDATIONS: (I) enactment of legislation: Due to the absence of any rules governing the implementation of the policy of the elderly, this policy in 2003 has remained in the text would, in practice there. Thus the existence of the law will help the implementation of the policy. (Ii) District Council zitenge funds through a special fund of the district to enable older people to access and also run various activities through the group. (Iii) the Board through the department of community development and planning exercise to prepare the data to determine the number of elderly. (Iv) Elderly to get representation in decision making bodies at all levels of county, Council and Parliament, this will help ensure that they sauliki placed in development plans, either to ensure the budget makes the portion of serving the elderly. (V) Council forming method / system that will enable older people to get all the therapy and medication. (Vi) Allocation of responsibilities to help elderly in implementing policies for the elderly shall be observed and put into practice from central government to the family level. (Vi) The council of elders to meet their responsibility to ensure that they manage the goals of the establishment of these councils the right to demand better quality of life of elders is to ujumla.Hii Councils at all levels already constructed, as part of the village elder voices of elders. |
Translation History
|