Kuhusu
Peleleza
Tafuta
Jitolee
Mabadiliko
English
Kiswahili
Kinyarwanda
Fungua
/Nuruhalisi/news
: Kiswahili
Asili
Kiswahili
NURU HALISI yapata tuzo ya kwanza ya mazingira Mkoa wa Dar es salaam. Hapa ni wanachama na viongozi wa Nuru Halisi pamoja wa wageni waalikwa (image) wakifurahia tuzo hiyo (image)
(Bila tafsiri)
Hariri
(image) Shirika la NURU HALISI jana tarehe 28 July ilikabidhiwa rasmi tuzo ya mazingira iliyotolewa tarehe 5 May 2010 na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam. Tuzo hiyo ilikabidhiwa na mkuu wa kitengo cha Mazingira kwa niaba ya Mkurugenzi ya Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala. Hafla ya kupokea tuzo hiyo ilifanyika katika Ukumbi wa Arawa Mazizini Ukonga.
(Bila tafsiri)
Hariri
WANACHAMA NA VIONGOZI WA NURU HALISI MKOA WA DAR ES SALAAM TAR 28 JULY 2010 (image)
Wanachama NA VIONGOZI WA NURU Halisi mkoa WA DAR ES SALAAM lami 28 JULY 2010 (image)
Hariri
Hizi ni baadhi ya changamoto tunazokumbana nazo. Ni watu wakubwa na wenye uwezo ndio wanaochafua mazingira kwa kutoa taka ndani ya mageti na kuziweka nje. Wanaoathirika ni watoto wa maskini wanaocheza kwenye malundo ya taka hizo na wakazi wa kipato cha chini wanaotumia maji ya visima ambavyo havijachimbwa kitaalamu na taka hizi huingia kwenye visima nyakati za mvua. Tunaomba msaada tuwafikie na kuwaeleza namna ambavyo wanaweza kutoa ushirikiano na kuondoa dhana hiyo. ...
(Bila tafsiri)
Hariri
(image) – Hii ni moja kati seminar zinazotolewa na Nuru Halisi zikiwashirikisha wadau wa mazingira.
(image) – Hii Ni Moja kati semina zinazotolewa Rangi Nuru Halisi zikiwashirikisha wadau Wa mazingira.
(This translation refers to an older version of the source text.)
Hariri
Wakati NURU HALISI inaendelea na mikakati ya kutoa elimu juu ya Utunzaji wa mazingira, Uongozi na wanachama wa shirika wamesema hawata kaa ofisini na badala yake watakua wakitoka wakati wote na kuifuata jamii ilipo. Hayo yamesemwa na afisa uhusiano wa shirika hilo Philipo Mtoro wakati walipokua wakitoa maelezo ya kazi zao kwa vitendo mbele ya mgeni rasmi wakati wa kupokea tuzo. Vile vile aliwaomba wadau wengine wa mazingira kujitokeza ili kusaidiana na...
(Bila tafsiri)
Hariri
(image)
(image)
(This translation refers to an older version of the source text.)
Hariri
Viongozi na wanachama wa Nuru halisi leo tumefanya usafi katika mifereji ya kandokando mwa barabara ya Mombasa-moshi bar,mitaro hii imekuwa michafu kwa muda mrefu na tumeona ni vyema kuisafisha na ndio tuanze kuzungumza na wafanyabiashara wa kandokando mwa barabara hii pamoja na wamiliki wa machinjio ya Ukonga-mazizini na kujadili namna ambavyo kila mmoja atawajibika kwa sehemu yake
Viongozi Rangi wanachama Wa Nuru Halisi leo tumefanya usafi katika mifereji ya kandokando mwa barabara ya Mombasa-Moshi bar, mitaro michafu Hii imekuwa Kwa muda mrefu Rangi tumeona kuisafisha Ni vyema tuanze kuzungumza Rangi Ndio Wa Rangi wafanyabiashara kandokando mwa barabara Hii pamoja wamiliki Wa Rangi ya machinjio mazizini Ukonga-Rangi kujadili namna ambavyo Kila Mmoja Kwa sehemu yake atawajibika
Hariri
(image) – Wanachama wa Nuru Halisi wakiwa katika vikao vyake vya kila wiki. Wanachama hawa hufanya zoezi la usafi wa mazingira kabla ya kuanza kikao.
(image) – Wanachama Wa Nuru Halisi wakiwa katika vikao vyake vya Kila wiki. Wanachama hawa hufanya zoezi la usafi Wa mazingira kabla ya kuanza kikao.
(This translation refers to an older version of the source text.)
Hariri
Nuru Halisi Development Group sasa wameanza kupewa mafunza ya kutengeneza Uyoga na tayari wameanza kwa vitendo kwa kushiriki wenyewe kuandaa vitendea kazi. Wanachama watakuwa wakifanya kazi kwa pamoja ili wapate elimu hii ili iweze kuwasaidia mmoja mmoja kujibunia miradi yake nje ya kikundi. Malengo ya kikundi hiki ni kuwawezesha wanachama kuwa na uwezo wa kujitegemea kwa kutumia rasilimali walizonazo bila kutegemea kusaidiwa. Wanachama wamejiwekea akiba wenyewe na...
(Bila tafsiri)
Hariri