Envaya

/TEYODEN/news: English: WI0009BA39E1BA0000088794:content

Base (Swahili) English

Vijana washiriki maadhimisho ya siku ya ukimwi duniani yaliyofanyika tarehe 2 disemba 2011 viwanja vya Zakhiem Mbagala Charambe

Takribani vijana 60 wanachama  na Viongozi wa mtandao wa vijana Manispaa ya Temeke wameshiriki maadhimisho ya siku ya Ukimwi Duniani ambayo mwaka huu yamefanyika katika viwanja vya Zakhiem kata ya Mbagala.Maadhimisho hayo yaliyopambwa kwa vikundi mbalimbali vya sanaa za ngoma na maigizo yanayolenga kuhimiza jamii dhidi ya hatua za kudhibiti maambukizi,kutoa hudua kwa waathiriwa na waathirika wa ukimwi,upimaji kwa hiari,matumizi ya kondom na hatua za uboreshaji wa sera zinazohusu ukimwi yalianza kwa maandamano mafupi yaliyopokelewa na mgeni rasmi Naibu meya wa Manispaa ya Temeke.

Kazi za TEYODEN

TEYODEN katika banda lake ilifanya kazi zifuatazo:-

  • Kuelimisha jamii hasa vijana juu ya umuhimu wa stadi za maisha kama nyenzo ya kubadili tabia hatarishi kwa vijana.
  • Kutoa huduma ya kondom bure
  • Kuhamasisha ushiriki wa vijana katika shughuli za upunguzaji wa maambukizi na utoaji huduma kwa wagonjwa.
  • Kuhamasisha jamii juu upingaji wa unyanyasaji wa wanawake hasa vijana na kujenga uwezo wa kina mama wadogo kukabiliana na changamoto zitakazo wapelekea katika maambukizi ya ukimwi.

Mafanikio

  • Wanajamii 78 wakiwemo vijana 56 walitembelea banda na kujifunza masuala muhimu ya upunguzaji wa maambukizi na utoaji huduma kwa waathirika na waathiriwa wa ukimwi
  • Idadi ya kondom 371 zilisambazwa kwa vijana na wanajamii walioudhulia maadhimisho
  • vijarida 217 vilisambazwa kwa vijana na wanajamii waliohudhuria maadhimisho

Mwisho wa maadhimisho haya ni mwanzo wa michakato na mipango mipya juu ya uthibiti wa maambukizi mapya na huduma kwa waathiriwa na waathirika wa Ukimwi.Kila mtu achukue nafasi yake sasa hivi na hapo hapo alipo.Tusiufundishe ulimwengu kuimba tuonyeshe kwa vitendo.

Youth participants celebration of world AIDS day held on 2 December 2011 stadiums Zakhiem Mbagala Charambe

Presumably young 60 members and leaders of a network of young MC Temeke have attended the celebration of World AIDS Day, which this year has been made in the grounds of the Zakhiem ward Mbagala.Maadhimisho it yaliyopambwa for different groups of the art of dance and drama aimed at encouraging community against measures Infection control, offer prayers for victims and victims of AIDS, voluntary testing, and condom use stage of improvement of policies relating to HIV began to protest and received a brief guest Deputy Mayor of the Municipality of Temeke.

Works TEYODEN

TEYODEN worked in his stall the following: -

  • Educating the community especially the youth on the importance of life skills as tools to change risky behavior by youth.
  • Providing free condoms
  • Encourage youth participation in activities reducing the transmission and delivery services for patients.
  • Mobilising communities on anti-violence against women, particularly young people and build capacity of young mothers face challenges that will send the HIV virus.

Success

  • 78 Community members, including 56 young people visited the pavilion and learn the key issues of reducing the transmission and delivery of services to victims and victims of AIDS
  • Number of condoms were distributed to 371 youth and community members who udhulia celebrations
  • vilisambazwa 217 brochures for youth and community members who attended the celebration

At the end of this celebration is the beginning of the processes and new initiatives on the regulation of new infections and care for victims and survivors of Ukimwi.Kila someone to take his place now and then there was po.Tusiufundishe world singing show in practice.


In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
January 30, 2012
Youth participants celebration of world AIDS day held on 2 December 2011 stadiums Zakhiem Mbagala Charambe – Presumably young 60 members and leaders of a network of young MC Temeke have attended the celebration of World AIDS Day, which this year has been made in the grounds of the Zakhiem ward Mbagala.Maadhimisho it yaliyopambwa for different groups of the art of dance and drama aimed at encouraging community...