Envaya

/TEYODEN/news: English: WI00095174E15B5000078197:content

Base (Swahili) English

TEYODEN yafanya mafunzo ya VICOBA kwa wasichana  80 waliozaa chini ya umri na waliosahalika na jamii (Ma mama wadogo) kutoka katika kata 4 za Azimio,Mtoni,Kibada na Vijibweni.Pamoja na walengwa hao walikuwepo mentors(walezi wa wasichana katika kata) 16 nao wakipata elimu hiyo ya VICOBA.Mafunzo hayo yalitanguliwa na mafunzo ya mafunzo ya siku 2 kuhusu stadi za maisha na elimu ya ujasiriamali yaliyofanyika kwa wasichana katika kata nne za mradi zilizotajwa hapo awali.Akifungua mafunzo afisa wa maendeleo ya vijana wa Manispaa ya Temeke aliwataka vijana kuwa watulivu na wasikivu na kuyafanyia kazi mafunzo watakayopata ili waweze kuibua miradi katika vikundi vya watu 10 ambavyo vitawezeshwa mitaji na ofisi ya TEYODEN.

"Nawapongeza sana TEYODEN kwa kuwa na wazo la kubuni mradi huu kwa kuwa mwanzoni katika vikao vyao vya miradi iliyopita niliwasahuri kufanya mradi tangible(wenye matokeo ya kuonekana) haya ni matokeo ya kuufanyia kazi kwa vitendo ushauri niliyowapa."alisema bi Afisa vijana bi Anna Marrica

 "Mradi huu wa mama wadogo waliosahaurika utawawezesha wasichana husika kupata elimu,kujadili changamoto za maisha yao ya kila siku na baadae kupatiwa mitaji kwaajili ya miradi yao itakayoibuliwa katika vikundi.Mtumie mitaji kwa shughuli zilizokusudiwa na si vinginevyo."aliongeza bi Anna Marrica

Wawezeshaji katika mafunzo haya walikuwa ni bwana Issa Tunduguru ambae ni Mkurugenzi wa Shirika la Poverty Fighting Tanzania na bwana Ally Manjasi ambae ni mkurugenzi wa Fedha wa shirika hilo.

Katika mafunzo hayo pia tulipata wageni kutoka chuo kikuu cha Dar-es-salaam na mwanafunzi kutoka ujerumani ambae yupo Tanzania kujifunza kwa vitendo kazi za kijamii.

TEYODEN done training VICOBA girls 80 who give birth under age and who sahalika and society (Ma mother scale) from the county 4 of the Declaration, the river, both by Vijibweni.Pamoja and beneficiaries were present mentors (guardians of the girls in the county) 16 and they have The education and training yalitanguliwa VICOBA.Mafunzo this 2nd day of training on life skills and entrepreneurship education for girls conducted in four wards of the project mentioned awali.Akifungua training of youth development officer for Temeke Municipality urged young people to be calm and sensitive to deal with the training they will get to explore projects in groups of 10 people that vitawezeshwa TEYODEN capital and office.

"I congratulate very TEYODEN with the idea of ​​designing this project since early in the sessions on their projects ago I advice to make the project tangible (the result of appearance): this is the result of might work with practical advice that I gave." He said bi Officer young bi Anna Marrica

"This project for young mothers who sahaurika will enable girls to access education appropriate to discuss the challenges of their daily lives and then seek capital for their projects in vikundi.Mtumie itakayoibuliwa capital for operations intended and not otherwise." Added Anna bi Marrica

Facilitators in this study were Tunduguru master Issa, who is Director of the Agency for Fighting Poverty Tanzania by Mr Ally Manjasi who is director of the agency's funds.

In this study we also get visitors from the University of Dar-es-salaam and a student from Germany who is in Tanzania to study social work practice.


In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
January 30, 2012
(image) TEYODEN done training VICOBA girls 80 who give birth under age and who sahalika and society (Ma mother scale) from the county 4 of the Declaration, the river, both by Vijibweni.Pamoja and beneficiaries were present mentors (guardians of the girls in the county) 16 and they have The education and training yalitanguliwa VICOBA.Mafunzo this 2nd day of training on life skills and entrepreneurship education for girls conducted in four wards of the project mentioned...