Base (Swahili) | English |
---|---|
Interview 2 1.Unaishi eneo gani?! Keko Magurumbasi 'A' 2.Mtaa wako unahitaji kitu gani sana sana?!
3.Mafuriko yameleta athari gani kwenye nyumba unayoishi na vitu vyako?! Vitu vyote vya ndani vimeharibika,TV,kabati,magodoro na vitanda. 4.Mafuriko yameleta athari gani kwenye maisha yako ya kila siku?!
5.Vyanzo vya ubora wa Maji vimepata athari gani kutokana na mafuriko.?! Maji tunayotumia yamechanganyika na maji taka. 6.Kama una kazi inakuchukua muda gani kutoka nyumbani kwako mpaka eneo lako la kazi?! Inanichukua dakika 5 kufika eneo langu la kazi maana nafanya kazi saloon eneo la keko. |
Interview 2 What 1.Unaishi area! Keko Magurumbasi 'A' Your 2.Mtaa What you need something very much!
What 3.Mafuriko localized effect on the house you lived with your things! All items in null, TV cabinets, mattresses and beds. What 4.Mafuriko localized effect on your daily life!
5.Vyanzo of Water Quality has found what impact due to flooding.?! Yamechanganyika water we use and waste water. 6.Kama inakuchukua how long you work from your home to your area of work?! Inanichukua 5 minutes to reach my area of work because I work Keko saloon area. |
Translation History
|