Base (Swahili) |
English |

Katibu wa MEECO (shati la machungwa) akiwa mgeni rasmi katika Mkutano mkuu wa Jumuiya Rafiki ya UWEMAJO ya Jozani Mkoa wa Kusini Unguja. Suala la utunzaji wa mazingira kuhusu kuepuka ukataji ovyo wa miti ndio mada kubwa aliyoizungumzia.Kushotoni kwake ni Katibu Mtendaji wa jumuiya ya UWEMAJO Bw. Hassan Khatibu akifuatiwa na Msaidizi Katibu wa jumuiya hiyo Bw. Rajab Mchumi ( Mzee Liliondo)
|

Secretary of MEECO (orange shirt) was the chief guest at the meeting of the Community Friend of the Jozani UWEMAJO South Unguja Region. The issue of preservation of the environment on disposal to avoid cutting of trees is the big topic was yoizungumzia.Kushotoni its Executive Secretary Mr. UWEMAJO community. Hassan Khatib, followed by Assistant Secretary of Jamaat Mr. Rajab Economist (Elder Liliondo)
|