Envaya

/MEECO/news: English

BaseEnglish
(image) – Baadhi ya vitendea kazi katika usafi wa mazira alivyovitoa MH.HAROUN ALI SULEIMAN moja ya ahadi alizoahidi katika uzinduzi huo(image) – Some tools in the purity of hate have presented MH.HAROUN Ali Suleiman was one of the promises made at the initiative zoahidiEdit
(image) – MH.HAROUN ALI SULEIMAN Waziri wa kazi na Uwezeshaji Wanaachi Kiuchumi na Ushirika akilopokuwa akifunguwa jumuiya ya MEECO(image) – MH.HAROUN Minister Ali Suleiman's work and Wanaachi Economic Empowerment and Participation lopokuwa she give birth in a community of MEECOEdit
(image) – Vijana hatarishi katika masuala ya uharibifu wa mazingira kwa kuchimba mchanga walio jaa katika Mji wa Mwanakwerekwe, vijana hawa vilevile hutumia bangi na madawa ya kulevya ili kujipatia vipato vyao na huwa hatari sana kwa wapenda maendeleo kwani huwa wanachukuwa silaha mbalimbali katika harakati zao za haramu(image) – Youth at risk in terms of environmental damage by digging the soil are filled in the City of Mwanakwerekwe, young people also use cannabis and addiction to earn their livelihoods and are very dangerous for love development since they are often taken different weapons in their pursuit of illegalEdit
(image) – Viongozi na wanachama wa jumuiya ya MEECO wakiwa katika ziara yao ya kuhamasisha jamii kuhusu utunzaji na uhifadhi wa mazingira ya mikoko katika kijiji cha Unguja Ukuu Mkoa wa Kusini Unguja. Kuanzia kulia ni Abdallah Saleh Fatawi (Naibu Katibu)Hija Ramadhan Choko ( Mkuu wa Kamati ya Mapambo)(image) – Leaders and members of the community of MEECO in their tour to sensitize communities on environmental preservation and conservation of mangroves in the village of Unguja South Region Unguja greatness. Starting right Fatawi Abdallah Saleh (Deputy Secretary) Ramadhan Hajj oven (General Committee of Decorative)Edit
(image) – Vijana wa MEECO talent group nao hawakombali kushiriki katika uhamasishaji wa utunzaji wa Mazingira katika mikoko katika kijiji cha Unguja ukuu(image) – Young Talent MEECO kombali group and they participate in the promotion of the observance of the mangrove environment in the village of Unguja greatnessEdit
(image) – Viongozi na wanachama wa jumuiya ya MEECO wakiwa katika ziara yao ya kuhamasisha jamii kuhusu utunzaji na uhifadhi wa mazingira ya mikoko katika kijiji cha Unguja Ukuu Mkoa wa Kusini Unguja(image) – Leaders and members of the community of MEECO in their tour to sensitize communities on environmental preservation and conservation of mangroves in the village of Unguja South Region Unguja GreatnessEdit
(image) – Wanachama wa MEECO wakiwa katika safari yao ya kwenda kuhamasisha utunzaji na uhifadhi wa mazingira katika kijiji cha Unguja Ukuu(image) – Members of MEECO in their journey to promote preservation and conservation of the environment in the village of Unguja GreatnessEdit
(image) – Katibu wa MEECO (shati la machungwa) akiwa mgeni rasmi katika Mkutano mkuu wa Jumuiya Rafiki ya UWEMAJO ya Jozani Mkoa wa Kusini Unguja. Suala la utunzaji wa mazingira kuhusu kuepuka ukataji ovyo wa miti ndio mada kubwa aliyoizungumzia.Kushotoni kwake ni Katibu Mtendaji wa jumuiya ya UWEMAJO Bw. Hassan Khatibu akifuatiwa na Msaidizi Katibu wa jumuiya hiyo Bw. Rajab Mchumi ( Mzee Liliondo)(image) – Secretary of MEECO (orange shirt) as a special guest at the Annual General Meeting of the Community Friend of the Jozani UWEMAJO Unguja South Region. The issue of preservation of the environment on disposal to avoid cutting of trees is the big topic was yoizungumzia.Kushotoni its Executive Secretary Mr. UWEMAJO community. Hassan Khatib, followed by Assistant Secretary of the community that Mr. Rajab Economist (Elder Liliondo)Edit
(image) – Uwongozi wa jumuiya ya MEECO ukishirikiana na Kamati ya ulinzi na usalama wa Shehia ya Mwanakwerekwe wakiwa Ofisini skuli ya Sekondari Mbarali katika jitihada za kutatua tatizo la uvutaji wa bangi kwa baadhi ya wanafunzi wakorofi wa skuli hiyo!!(image) – Community leadership MEECO been collaborating with the Committee's defense and security in Office Shehia of Mwanakwerekwe Mbarali secondary schools in an effort to solve the problem of smoking marijuana with some students of the school's vehement!Edit
(image) – Wanachama wa MEECO wakiwa na sheha wa Shehia ya Pangawe katika dhiara ya kuhamasisha utunzaji wa mazingira katika kijij cha Unguja ukuu Mkoa wa Kusini Unguja(image) – Members of MEECO with the storyteller's Shehia Pangawe in dhiara to encourage environmental protection in kijij greatness of Unguja South Region UngujaEdit