Fungua

/UVIKITWE/news: Kiswahili

AsiliKiswahili
(document)(Bila tafsiri)Hariri
UVIKITWE GROUP, kupitia ufadhili wa The Foundation For Civil Society, imefanikiwa kutekeleza mradi wa uelimishajirika kwa vijana kuhusu athari za matumizi ya dawa za kulevya na uhusiano wake na maambukizi ya VVU/UKIMWI. Mradi huu umetekalezwa katika wilaya ya Bagamoyo ndani ya kata sita ambazo ni Vigwaza,Chalinze,Ubena,Msata,Miono na Kiwangwa. Mradi huu umeweza kuwafikia vijana tisini (90) wanaotumia na wasiotumia dawa za kulevya. – Mafanikio ya...(Bila tafsiri)Hariri
Mradi wa elimu ya kina kuhusu uwezo kujikinga na maambukizi ya VVU/UKIMWI kwa wafanya biashara za ngono na watumiaji wa dawa za kulevya katika maeneo ya machimbo ya Dar-pori, Masuguru, Mpepo na Lukarasi yalioko katika wilaya ya Mbinga - mkoa wa Ruvuma. Mradi huu umeweza kuleta mabadiliko makubwa sana kwa wlengwa wa moja kwa moja, baada ya kupewa elimu ya stadi za maisha na kuweza kuwajengea uwezo wa kujitambua na kutambua mahitaji yao ya msingi, pia mradi huu umeweza...(Bila tafsiri)Hariri
(image) – Baadhi ya akina dada waliokuwa wanafanya biashara ya ngono katika machimbo wilayani Mbinga wakiwa pamoja na uongozi wa Uvikitwe katika ofisi za kata ya Kigonsera Mbinga(Bila tafsiri)Hariri
(document) (image)(document) (image)
(This translation refers to an older version of the source text.)
Hariri
(image)(image)
(This translation refers to an older version of the source text.)
Hariri
(image) – Majadiliano katika maeneo ya wazi na wananci wanaoishi kwenye machimbo ya Masuguru Mbinga(Bila tafsiri)Hariri
(image) – FEMALE CONDOM DEMONSTRATION(Bila tafsiri)Hariri
CommentsMaoniHariri
JanuaryJanuariHariri
NovemberNovembaHariri
AprilApriliHariri
MayMeiHariri
{month} {day}, {year}{day} {month}, {year}Hariri
EnglishKiingerezaHariri