Base (Swahili) |
English |

Wanafunzi wa stashahada ya Uzamili wa chuo cha Mipango Dodoma wakichora ramani ardhini ikiwa ni hatua za kutengeneza mpango wa Maendeleo wa kisekta katika Kijiji cha WAMI DAKAWA mkoani MOROGORO. utaratibu huu unawawezesha wanachuo kutoka wakiwa na ujuzi wa kusimamiana kutekeleza miradi ya maendeleo huku wakioanisha na miongozo mbalimbaliiliyopo nchini na ile ya Kimataifa.Mmiliki wa Mtandao huu ni miongoni mwa washiriki waliomo kwenye kozi hiyo
|

Postgraduate diploma students of the College of Planning Dodoma map drawing ground as steps to make a Sectoral Development Plan in the Village of AMI hawser Morogoro region. This procedure enables the college from having the skills to kusimamiana implement development projects as they align with the guidelines in the country and the mbalimbaliiliyopo Kimataifa.Mmiliki Network is among the participants who are on course
|