Fungua

/indabaafrica/news: Kiswahili: WI00087D5E2AE2D000092615:content

« Iliyotangulia   ·   Ifuatayo »
Asili (Kiswahili) Kiswahili

large.jpg

Wanafunzi wa stashahada ya Uzamili wa chuo cha Mipango Dodoma wakichora ramani ardhini ikiwa ni hatua za kutengeneza mpango wa Maendeleo wa kisekta katika Kijiji cha WAMI DAKAWA mkoani MOROGORO. utaratibu huu unawawezesha wanachuo kutoka wakiwa na ujuzi wa kusimamiana kutekeleza miradi ya maendeleo huku wakioanisha na miongozo mbalimbaliiliyopo nchini na ile ya Kimataifa.Mmiliki wa Mtandao huu ni miongoni mwa washiriki waliomo kwenye kozi hiyo

(Bila tafsiri)

Ili kuhariri tafsiri, lazima ufungue. Fungua · Jiandikishe